TEKNOLOJIA
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 4,305
- 2,563
Siwezi kumsikiliza Zitto,nimemshusha thamani tangu siku ile ya ripoti yake ya escrow iliyolenga kuwalinda wezi halisi wa escrow na kuwachafua wengine wasiohusika.hana cha maana cha kujadili nikamsikiliza huyu mnafiki mlinda mafisadi.