Msikilizeni Zitto Star TV

Msikilizeni Zitto Star TV

Zitto ayatoll.a.h,ye ndo mweka hazina,ye ndo mlinzi,ye ndo meneja,ye ndo mkurugenzi,ye ndo reception,ye ndo mapokezi,ye ndo mtu wa manunuzi,jamaa ndo kila kitu
 
I was dying to hear that,,,Asambaze mauzalendo tu
 
We acha tu, kasababisha nichelewe kunywa chai, uchumi wa nchi anaujua vizuri, juzi nilimsikiliza Mbatia yaani alikuwa anaongea pumba hadi roho ikaniuma eti waziri kivuli wa fedha hovyo kabisa. Zitto amekomaa kiuchumi, kuna mambo amenifungua macho, kuwa sasa uchumi wetu unategemea watalii mgodi wa Geita na mauzo ya viti vya plastic, ndo kilimo kifuate, hii ni habari mbaya kabisa kusikia.

Kushuka kwa kilimo cha pamba kwa 40% hii ni habari ya kushitua sana, wakati mjerumani alisema pamba ni white gold sie imegeuka laana. Japo mvua zinanyesha mashamba yote hayajalimwa, yale majembe ya kukokotwa na ng'ombe hayapo tena.

Pia amegusia kuwa upumbavu wa hawa jamaa kusema nchi hatatawalika kunaleta hofu kwa watu wenye mitaji yao.

Maneno haya akisema mwana chadema anaitwa msaliti, team allayatolah mara sijui CCM B, yaani kazi ni kubwa sana.

Mi nasema, watu tuna mdis sana zitto, but ndio kiongozi pekee ambae mwananchi wa kawaida ambae ni mwerevu anaweza jifunza mambo mengi sana. Ambayo sio ubabaishaji, bali ni ukweli kabisa.

Basi tuulize, Ukiacha na Zitto, ni kiongozi gani aliewahi kuandika chochote cha maana kuhusu sh. Kupuromika dhamani?

Badala ya ku pick ya Msingi na kupuuza ujinga mwingine usio na madhara, watu wanakalia kuimba Msaliti, Msaliti...

Kwanini tunakosa rational thinking?
 
Hivi cha Rafiki cha ACT hapa nchini ni Chama gani? maana mnasema mna vyama rAfiki ndani na nje?

Ziara ya mikoa 17 ina maana ataanza upya alikopita?
 
Hii mada imejaa utumbo fully utazani wote tunatazama tv
Hivi mtu akija kuifukua hii mada baada ya mwaka atajua kilichojadiliwa?
What kinds of GT ARE U??

Kwani wewe umejadili nini!
 
VUA GAMBA, VUA GANDWA VAA UZALENDO. Kauli mbiu ya ACT hyo.
 
Na hakuna atakaye kulaumu kwa msimamo wako sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipokomea. Udhaifu wa report ya PAC kuhusu sakata la escrow hauwezi kuhafifisha umakini wa ZZK katika masuala ya uchumi.

We kalaga baho!
Amepoteza hata ile heshima ndogo na credibility aliyokuwa nayo kwangu.I am very principled man,I don't worship people sheepishly but I respect people especially those ones who are honest.Zitto had been and will always be a dishonest politician.
 
asafiri hata mikoa36 ya bara na visiwani hata shetani anazunguka sana kupata wafuasi
 
mikoa au Miji? Mkoa wa Ruvuma una wilaya na majimbo kadhaa ya uchaguzi sasa ayatullah anazuru songea mjini anasema amezuru mkoa wa Ruvuma!

hili jina la Kiongozi Mkuu Ayatooollah Zitto linanipa ban sana
 
Katika thread moja wiki zilizopita alieleza sababu za kushuka kwa sarafu yetu hakutaja escrow , katika comment zangu nilitaja escrow kama sababu muhimu katika hilo sakata. Gazeti la leo mtanzania linaeleza gavana kaitaje escrow kama sabau kuu kwa namana ya kunyimwa misaada lakini kuna sababu ya pili niliitaja ambayo watu wanaionea aibu yaani kuingizwa fedha nyingi kwenye mzunguko kupitia sandarusi
 
Back
Top Bottom