Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,960
- 134,049
Zitto ayatoll.a.h,ye ndo mweka hazina,ye ndo mlinzi,ye ndo meneja,ye ndo mkurugenzi,ye ndo reception,ye ndo mapokezi,ye ndo mtu wa manunuzi,jamaa ndo kila kitu
We acha tu, kasababisha nichelewe kunywa chai, uchumi wa nchi anaujua vizuri, juzi nilimsikiliza Mbatia yaani alikuwa anaongea pumba hadi roho ikaniuma eti waziri kivuli wa fedha hovyo kabisa. Zitto amekomaa kiuchumi, kuna mambo amenifungua macho, kuwa sasa uchumi wetu unategemea watalii mgodi wa Geita na mauzo ya viti vya plastic, ndo kilimo kifuate, hii ni habari mbaya kabisa kusikia.
Kushuka kwa kilimo cha pamba kwa 40% hii ni habari ya kushitua sana, wakati mjerumani alisema pamba ni white gold sie imegeuka laana. Japo mvua zinanyesha mashamba yote hayajalimwa, yale majembe ya kukokotwa na ng'ombe hayapo tena.
Pia amegusia kuwa upumbavu wa hawa jamaa kusema nchi hatatawalika kunaleta hofu kwa watu wenye mitaji yao.
Taifa la mwandiga na buzebazeba
Hii mada imejaa utumbo fully utazani wote tunatazama tv
Hivi mtu akija kuifukua hii mada baada ya mwaka atajua kilichojadiliwa?
What kinds of GT ARE U??
Tupo Ibadani
hii habari mbaya sana kwa bavicha na ufipani,wataondoka tena wote pale ufipani asalaleh
ACT is rising too fast!
Amepoteza hata ile heshima ndogo na credibility aliyokuwa nayo kwangu.I am very principled man,I don't worship people sheepishly but I respect people especially those ones who are honest.Zitto had been and will always be a dishonest politician.Na hakuna atakaye kulaumu kwa msimamo wako sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipokomea. Udhaifu wa report ya PAC kuhusu sakata la escrow hauwezi kuhafifisha umakini wa ZZK katika masuala ya uchumi.
We kalaga baho!
mmeamka wote hata kusali hamwendi kisa zzk atawatoa kamasi
Not True, she is too much supported by her mother fisi jike CCM
mikoa au Miji? Mkoa wa Ruvuma una wilaya na majimbo kadhaa ya uchaguzi sasa ayatullah anazuru songea mjini anasema amezuru mkoa wa Ruvuma!