Msikilizeni Zitto Star TV

Msikilizeni Zitto Star TV

Kuna kipindi kinaendelea live star tv muda huu na mada ikiwa ni "kushuka kwa thamani ya shilingi".

Wageni waalikwa katika studio za star tv(wachambuzi) ni mchumi Donald Kasongi, akiwa anaongea katika studio za Mwanza na Zitto ambae atafuata kuongea akiwa studio za Dar-es-salaam.

Ni fursa nyingine kupima kauli za mwanasiasa huyu kwenye uchumi.

Huyu Zitto kujua anajua na anaelewa tatizo ni MSALITI na sijui atabadili vipi hii kashfa kutokea chafu hadi safi
 
Last edited by a moderator:
Huyu kijana,ni hazina kwa taifa kizuri ni kwamba anazungumza issues tu.

Taifa la Kigoma.Msaliti, Mnafiki huyu ni moja wapo ya kansa ya mageuzi na UZALENDO. Hichi kibwengo kinafaa tu madili ya WIZI WIZI tu
 
Hakuna mtu wa kumsikiliza msaliti na mpenda madaraka kama zzk

Hili ndiyo tatizo la pro CDM kulazimisha kila mtu afikiri kama wao, kwamba wao wasipomsikiliza ZZK watanzania wengine nao wabadilishe channel.

Tanzania inayokadiriwa kuwa na wapiga kura zaidi ya 24m, wafikiri kama pro CDM, really!!!!!
 
MAHORO
acha kujiweka vumbi machoni badala ya Dawa.
Sio busara kwako kujigeuza akili na kujigeuza kupinga pinga tu.
akikubali kukufuata wewe basi atakuwa mjinga mkubwa mno
 
hayupo mtu wa kudanganya tena, acheni atumie fedha kama bajeti ya CCM inavyoelekeza watu wapate mishiko then tusubiri kura za wananchi kwa UKAWA PEKEE
 
Hili ndiyo tatizo la pro CDM kulazimisha kila mtu afikiri kama wao, kwamba wao wasipomsikiliza ZZK watanzania wengine nao wabadilishe channel.

Tanzania inayokadiriwa kuwa na wapiga kura zaidi ya 24m, wafikiri kama pro CDM, really!!!!!
Hizo takwimu umezpata wapi? Ccm plus act sawa na bureeee
 
Akiongea na tbc au startv, uhuru au mzalendo
 
zito anaeleza vizuri kuliko mkuya na prof ndulu.

heko zitto kama mchumi.

Arudishe milioni 700 kwani wananchi wanzifahamu na bila kuzirudisha wataendelea kumkataa hata uongozi wa nyumba kumi hatopata.
 
Watanzania wamekuwa werevu mno miaka hii. Tapeli anajulikana mapema kabla jua halijachomoza.
Zitto na utapeli wake hataweza kutapeli watanzania

Tatizo hamtapata akina shibuda, watakaokatwa ccm wataenda act na sio cdm kwani wameshaona wenzao kilichowapata huko. Kuna sura hata ukizipeleka appt au chausta zitashinda tu na ndo hizo zitaibeba act. Ila kama mnaamini hana madhara basi wacheni kumfuata kila anakopita muone cha mtemakuni.
 
Huyu dogo apigwe sahiv anatuhujumu wananchi
 
Hii mada imejaa utumbo fully utazani wote tunatazama tv
Hivi mtu akija kuifukua hii mada baada ya mwaka atajua kilichojadiliwa?
What kinds of GT ARE U??
 
Siwezi kumsikiliza Zitto,nimemshusha thamani tangu siku ile ya ripoti yake ya escrow iliyolenga kuwalinda wezi halisi wa escrow na kuwachafua wengine wasiohusika.hana cha maana cha kujadili nikamsikiliza huyu mnafiki mlinda mafisadi.
Na hakuna atakaye kulaumu kwa msimamo wako sababu ndo uwezo wako wa kufikiri ulipokomea. Udhaifu wa report ya PAC kuhusu sakata la escrow hauwezi kuhafifisha umakini wa ZZK katika masuala ya uchumi.

We kalaga baho!
 
Back
Top Bottom