Msikilizeni Zitto Star TV

Msikilizeni Zitto Star TV

Umeongea kitu cha maana sana, chadema wanachofanya ni philosophy ya kimarekani inayoitwa "affirmative action" na philosophy ya kijerumani inayoitwa "Black Propaganda" pia wanatumia philosophy ya kirusi iliyotumiwa na Stalin iliyoitwa "Lumpen proletarian" kwa wakati ule theory hizi zilifanikiwa ila kwa siasa za Tanzania tayari zimeshachelewa, ukitumia mbinu hizi kwa muda mrefu watu wanaanza kugutuka polepole.
Hivi unajua maana ya AFFIRMATIVE ACTION? Ndugu yangu hiyo term inatumika kumaanisha kutoa upendeleo maalum wa huduma za kijamii na kiuchumi kwa jamii ambazo zilibaguliwa au kuachwa nyuma kimaendeleo hususani ktk mataifa yaliyokumbana na tatizo la ubaguzi wa rangi hasa South Africa na The United States of America. Inaweza kuitwa ni reverse racism as well.Kama CHADEMA wanapigania hili kwa jambo kwa hapa Tanzania ni jambo la kupong3zwa kwa kweli otherwise haya ni matokeo ya kuyatumia maneno ya kiingereza bila kujua maana yake sahihi.
 
kwa bahati nzuri anachowaambia watz ndicho tumekua tukiwaahidi toka 2010, hana jipya kama elm, afya na huduma zingne bure tulishawaahd watz, sema tu cjackia akiahd kuwaweka ndani mafisadi baada ya kushinda kama sisi CHADEMA, baada ya kufkr nikakumbuka kumbe ndio wanaomfinance sasa atawafungaje akishka dola? ccm=act tutawapga wote mama na mwanae
 
Sina huo muda
Ila muda wa kukomenti hapa umepata.Ukiona jina Zitto unakuja kasi kama speed ya mwanga.(Zari calls the crazy people like you-Confused Admirers).Ukiwa una chuki na mtu then huyo mtu akawa anatusua tu _UNAKONDA BURE !
 
Zitto na ACT wanatoa hoja za kujenga Taifa! CDM na misukule yao wanaporomosha matusi tu.

Chadema tunaandamana lini?? maana chama chetu hakna hoja zaid ya kueneza vurugu badala ya hoja
 
jibu maswali kwa hoja ni maswali ya msingi . jamaa ana kumbukumbu sana huyu

Aanzishe thread yake. Kuchomekea katika threads nyingine ni kama uchafu ndio maana hajibiwi
 
Itabidi arudie kwanza alikopita maaana makamanda walishafanya yao na wanatanzania wako mguu sawa kusubili ukawa
 
Ila muda wa kukomenti hapa umepata.Ukiona jina Zitto unakuja kasi kama speed ya mwanga.(Zari calls the crazy people like you-Confused Admirers).Ukiwa una chuki na mtu then huyo mtu akawa anatusua tu _UNAKONDA BURE !

Hee.
Sawa Mamaa Zotto
 
bado hajui kwamba tsh imeshuka dhidi ya currencies nyingine...

Labda wewe ndio hujui kuwa shilingi haijashuka kwa currency zingine zaidi ya dola

Ebu tuwekee hapa hizo rate za Euro na Pound unazosema zimepanda nazo kwa kasi
 
Amepoteza hata ile heshima ndogo na credibility aliyokuwa nayo kwangu.I am very principled man,I don't worship people sheepishly but I respect people especially those ones who are honest.Zitto had been and will always be a dishonest politician.
You are excessively blinded by DJ ZERO MBOWE just because of getting sth to eat from him.Stand firm and independently.Think Again...
 
Hivi cha Rafiki cha ACT hapa nchini ni Chama gani? maana mnasema mna vyama rAfiki ndani na nje?

Ziara ya mikoa 17 ina maana ataanza upya alikopita?

safari anaenda mpaka vijijini ndani,wananchi wamwone live mtetezi wao aliekua akiwatetea bungeni mpaka koo linamkauka,zzk
 
Kiongozi mkuu wa ACT-Wazalendo amepost hivi kwenye FB page yake.

"Ndg Mwanachama na rafiki wa ACT Wazalendo, tunaanza awamu ya pili ya ziara ya kutambulisha chama chetu na kuhamasisha wananchi kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la kupiga kura. Ili kufanikisha ziara hii tunahitaji fedha kununua mafuta, kukodisha magari na kujikimu. Tunaomba mchango wako wa tshs 10,000 tu. Tuma mchango wako kwenye namba 0763463740 (ACT POLITICAL) au 0715784670 (ACT TANZANIA) au NMB A/C NO. 22610004083 ACT-TANZANIA. Ahsante. Katibu Mkuu."
 
akiongea startv asubuhi amesema wataanza kusambaza uzalendo wiki ijayo kwa kufanya ziara kupita mikoa 14.

Zitto Z Kabwe
Ndg Mwanachama na rafiki wa ACT Wazalendo,
tunaanza awamu ya pili ya ziara ya
kutambulisha chama chetu na kuhamasisha
wananchi kujiandikisha kwenye daftari la
kudumu la kupiga kura. Ili kufanikisha ziara hii
tunahitaji fedha kununua mafuta, kukodisha
magari na kujikimu. Tunaomba mchango wako
wa tshs 10,000 tu. Tuma mchango wako
kwenye namba 0763463740 (ACT POLITICAL)
au 0715784670 (ACT TANZANIA) au NMB A/C
NO. 22610004083 ACT-TANZANIA.

Huyu Zitto si alikataa posho wakati yuko bungeni sasa hela za kujikimu za nini? We ulaya yako ni vijijini kula mihogo na membe na chumvi
 
Back
Top Bottom