PostGE2025 Msigwa: Vyombo vya nje vifuate taratibu za uandishi, walichofanya CNN, Al Jazeera na wengine sio sawa, ni ukiukwaji wa makusudi

PostGE2025 Msigwa: Vyombo vya nje vifuate taratibu za uandishi, walichofanya CNN, Al Jazeera na wengine sio sawa, ni ukiukwaji wa makusudi

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
2,786
Reaction score
7,567
Serikali yatoa wito kwa vyombo vya habari vya nje kufuata maadili ya uandiahi wa habari kwa kuchapisha habari ambazo aio za upande mmoja, serikali ipo tauari kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ndani na nje ya nchi pale watakapohitajika.

Msigwa amesema sio sawa kilichofanywa na CNN, Al Jazeera na wengine kwa kuchapisha habari za upande mmoja na kusema upande mwingine umekataa kutoa ushirikiano.

Its very unprofessional!


 
Msemaji mkuu wa serikali Gerson Msigwa akizungumza na waandishi wa habari leo Novemba 23, 2025 jijini Dar es salaam amesema Kitendo kilichofanywa na vyombo vya habari vya kimataifa CNN, BBC, Aljazeera na DW kuchapisha taarifa za upande mmoja kuhusu matukio yaliyotokana na maandamano ya Oktoba 29, 2025 siyo haki katika misingi ya uandishi wa habari
 
1000213040.jpg
 
Upande wa pili wa video zinazoonyesha watu wakiuawa ni upi? Kwamba maandamano yalikuwa ya amani?
 
Serikali yatoa wito kwa vyombo vya habari vya nje kufuata maadili ya uandiahi wa habari kwa kuchapisha habari ambazo aio za upande mmoja, serikali ipo tauari kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ndani na nje ya nchi pale watakapohitajika.

Msigwa amesema sio sawa kilichofanywa na CNN, Al Jazeera na wengine kwa kuchapisha habari za upande mmoja na kusema upande mwingine umekataa kutoa ushirikiano.

Its very unprofessional!
Sasa pale wao mafasi yao ilikuwa wapi? Mbona ameweka vipande vya maneno ya samia
 
Serikali yatoa wito kwa vyombo vya habari vya nje kufuata maadili ya uandiahi wa habari kwa kuchapisha habari ambazo aio za upande mmoja, serikali ipo tauari kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ndani na nje ya nchi pale watakapohitajika.

Msigwa amesema sio sawa kilichofanywa na CNN, Al Jazeera na wengine kwa kuchapisha habari za upande mmoja na kusema upande mwingine umekataa kutoa ushirikiano.

Its very unprofessional!
Kumbe hawajafuata taratibu tu lkn vyote walivyoreport ni sahihi!!

Wazee wa kukanusha ni kipi kilichowafanya wameogopa kukanusha????
 
Back
Top Bottom