mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,838
- 106,042
Huko namjua anill mkuuKuna hiki a
Unamfaham Hamisa, liliab na siku?
Ova
Huko namjua anill mkuuKuna hiki a
Unamfaham Hamisa, liliab na siku?
Ulikuwa unabeba boksi Galleriet ile mall Bergen Sentrum?Okay mkuu nakuamini ulikuwa Bergen kama unamjua Chiku. Nilisikia alimpoteza binti yake. . Chiku dada wakisingida mnyaturu. Huyu Hamisa pisii kichiz mcheshi mchangamfu ni mzenji tulikuwa tunapiga naye kitu cha Arusha. Nilikuwa nabeba boksi Galleria Chinese fishing. Dah Bergen zile nyumba milimani. Utakuwa unamjua tu Hamisa BAK nadani anafaham
Kuna culture shock gani huko mkuu?Nimependa sana hiki kipengele!Ukienda huko Norway, Denmark, Sweden, Finland, in due time, and after going through the initial culture shock, you pretty soon start acquiring a cardboard-box type mentality where you start thinking you're living in heaven despite all the racial discrimination you have to deal with on the daily as an African
Mkuu ni hivi mimi nilipelekwa Denmark 2009 nikiwa mdogo sana 19 years 2008 na ex wangu. Tulipishana maswala flan kwasababu alizidi umri sana. Nikakimbilia Oslo baadaye nikaenda Bergen halafu Trondheim. Trondeim nimekaa sana mwaka mmoja wakati huo na makaratasi ya Denmark. Kuna msala nilifanya Trondeim wakanirudisha Denman 2012 nikasettle hadi 2017 nikapata permanent residence yangu. Bergen na Trondheim napafaham vema sanaSimjui. Mimi ni old school.Ila Chiku ndiyo Mtanzania nlimkuta ameishi Bergen miaka mingi zaidi. lkn kuna Watanzania wengi niliwakuta Bergen, watu poa sana
Sawa. Wewe inabidi uniamkie Shikamoo maana wakati huo hata Norway nilishaondoka😅😅😅Mkuu ni hivi mimi nilipelekwa Denmark 2009 nikiwa mdogo sana 19 years 2008 na ex wangu. Tulipishana maswala flan kwasababu alizidi umri sana. Nikakimbilia Oslo baadaye nikaenda Bergen halafu Trondheim. Trondeim nimekaa sana mwaka mmoja wakati huo na makaratasi ya Denmark. Kuna msala nilifanya Trondeim wakanirudisha Denman 2012 nikasettle hadi 2017 nikapata permanent residence yangu. Bergen na Trondheim napafaham vema sana
Hivi mama ngonyani bado yupo hukoMkuu ni hivi mimi nilipelekwa Denmark 2009 nikiwa mdogo sana 19 years 2008 na ex wangu. Tulipishana maswala flan kwasababu alizidi umri sana. Nikakimbilia Oslo baadaye nikaenda Bergen halafu Trondheim. Trondeim nimekaa sana mwaka mmoja wakati huo na makaratasi ya Denmark. Kuna msala nilifanya Trondeim wakanirudisha Denman 2012 nikasettle hadi 2017 nikapata permanent residence yangu. Bergen na Trondheim napafaham vema sana
Haha mkuu BAK. Huyu Hamisa bana sikumoja akaniita Ghetto kwake basi kulikuwa na wanorwegian tupu kasoro mimi na yeye. Piga kitu cha Arusha na larger kama hatuna akili nzuri. Sasa kuna mzee flani lager ilimlemea alikuwa na mguu wa kuku akaichomoa na kuwasha moja juu maamae nilitoka nduki. Hamisa alimaindi kichiz. Nikaenda kujificha kichani.Simjui Hamisa Mkuu ili namuonaga yule Hamisa Mrembo Mobetto 😜
mkuu kama na huko ulaya hali ni ngumu namna hiyo, vijana wetu mliopo huko mchunge sana msije mkaanza kumegwa na kuliwa tako,Mzuka wanajamvi!
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.
mkuu nikija ulaya naweza pata mke wa kizungu? au wanazengua?Mzuka wanajamvi!
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.
Amina Mkuu, mwaka 2011 nilikuwa nasee gepu niende botswana, zimbu na swaz...ila kwa sasa namshukuru mungu naiona bongo tamu sitaman kusepa wala kwenda nje..NAOMBA NIANDIKE KWA HERUFI KUBWA. MIMI NIMEISHA ULAYA ZAIDI ITALY NA UK KIDOGO SANA SPAIN PORTUGAL NA POLAND. KUSEMA UKWELI ANACHOKISEMSA HUYU JAMAA (JAPOKUWA ANAPIGA CHA ARUSHA) NI KWELI NA UKWELI MTUPU JAPO UNAWEZA KUWA MCHUNGU KWA WALE WANAOTAMANI KWENDA ULAYA. BINAFSI KWA RESEARCH NILIYOIFANYA KWA WAAFRIKA WENGI WANAKWENDA EUROPE KUTOKA NIGERIA NA GHANA, NI 5% AU CHINI YA HIYO WANAOFANIKIWA. NIMEISHI ITALY KWA MIAKA 5 WAKATI HATA KORONA HAIJAINGIA LAKINI HALI IKIKUWA MBAYA SANA KWA MIGRANTS WACHACHE SANA WALIKUWA WANAFANIKIWA KUPATA SEHEMU YA KULALA WENGI WALIKUWA WANAISHI NA KULALA STEND ZA METRO KAMA KUNA MTU AMEISHI ITALY HASA ROMA ATAKUWA ANAPAFAHAMU SANA TERMINI.
KUNA MTU AMEULIZA KUHUSU UAE KWA SASA MIMI NIPO HUKU KUSEMA UKWELI KIDOGO FURSA ZIPO JAPO COMPETITION NI KUBWA SANA KUTOKA KWA WAHINDI, WAFILIPINO, WASRILANKA, NA WABANGLADESH. MALIPO NI KIDOGO JAPO HUWEZI KUFANANISHA NA BONGO OF COURSE LAKINI KUWA COMPANY NYINGI BINAFSI NI ZA WAHINDI BASI WANAPEWA KIPAUMBELE SANA.
UZI WA YULE JAMAA ANAYE SAVE 80,000KRN KWA MIEZI 3 SIYO REALISTIC JAPO INATEGEMEA NA KAZI ANAYOFANYA. SIYO RAHISI SANA KUPATA KIPATO HICHO KTK UHALISIA.
SIMKATISHI TAMAA MTU ANAYETAKA KUCHOMOKA BONGO MAANA UTAFUTAJI HUWEZI JUA RIZIKI YAKO ILIPO ILA KABLA HUJATOKA BONGO NASHAURI UWE UMEJIRIDHISHA BEYOND ANY QUANTUM OF DOUBT LA SIVYO UTAJUTA SANA.
Tuendelee kupambana, na Mungu atatubariki.
Naomba kuwasilisha.
Ni kazi ambazo haziitaji elimu yoyote, ni Kama vile kuhamisha mizigo mfano bizaa kutoka kweNye magari kuingiza super market, kubeba maboksi kutoa sehemu 1 kwenda sehemu nying, kufanya usafi super market, kupanga bidhaa super market n.k Yani kwa kifupi ni kazi za kuzaraulika zisizohiyaj elimu ila kwa Ulaya watu kupitia kaz hizo wanaishi wanajenga na kusomesha watoto kwa huku kwetu Africa.Naomba Nisaidiwe Kuelewa Maana Ya Kazi Ya Kubeba Box
Bak? 🤔Okay mkuu nakuamini ulikuwa Bergen kama unamjua Chiku. Nilisikia alimpoteza binti yake. . Chiku dada wakisingida mnyaturu. Huyu Hamisa pisii kichiz mcheshi mchangamfu ni mzenji tulikuwa tunapiga naye kitu cha Arusha. Nilikuwa nabeba boksi Galleria Chinese fishing. Dah Bergen zile nyumba milimani. Utakuwa unamjua tu Hamisa BAK nadani anafaham
Mkuu masuala ya ajira ni magumu dunia nzima, lakini nchi za ulaya magharibi kuna unafuu mkubwa sana ukilinganisha na sehemu zingine za dunia, kama upo ulaya na unaishi kihalali huwezi kukosa kazi labda kama unachagua kazi za taaluma fulani tuu, hivi sasa ulaya magharibi kazi ni nyingi sana na hata wana anza kuleta wafanya kazi wa muda kutoka asiaMzuka wanajamvi!
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.