The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,444
- 8,296
Kutokana na uzoefu wangu. Kwa sasa Tanzania ajira ni adimu kuliko wakati wowote ule.
Wakati mnapiga makelele ya mgao wa umeme. Kaeni mkijua graduates wanasota sana huku kitaa bila maelezo.
Miaka kumi iliyopita ajira Tanzania zilikuwa za kumwaga hali haikuwa hivi. Kuna kila dalili kabisa uchumi wetu umepalaganyika hasa kupanda kwa gharama za maisha kila mtu anabana matumizi.
Hata wanaopta ajira kwa sasa most of them are.underpaid, uwekezaji umepungua hasa katika sekta ya viwanda na maeneo mengine yanayo ajiri watu wengi.
Graduates mjipange huku mtaani hali ni tete
Wakati mnapiga makelele ya mgao wa umeme. Kaeni mkijua graduates wanasota sana huku kitaa bila maelezo.
Miaka kumi iliyopita ajira Tanzania zilikuwa za kumwaga hali haikuwa hivi. Kuna kila dalili kabisa uchumi wetu umepalaganyika hasa kupanda kwa gharama za maisha kila mtu anabana matumizi.
Hata wanaopta ajira kwa sasa most of them are.underpaid, uwekezaji umepungua hasa katika sekta ya viwanda na maeneo mengine yanayo ajiri watu wengi.
Graduates mjipange huku mtaani hali ni tete