Mheshimiwa mbunge na Shujaa wa taifa, Brother Mwakyembe pole sana na Mungu akupe nguvu sana, ndugu zako katika ukombozi wa taifa tunaipokea hii habari ya msiba wa Mama yako kwa roho nzito sana na huzuni kubwa sana.
- Taifa linakuhitaji sasa kuliko wakati wowote toka tupate uhuru, tunakuombe a kwa Mungu akubariki na uweze kukipita kipindi hiki cha majaribio bila kutetereka, na tuko pamoja na wewe brother katika majonzi na hata kwa hali na mali ikibidi tutawasiliana na wewe on this.
Mungu akubariki wewe na familia yako, na pia amuweke pema peponi marehemu mama yako.
FMES!