Kwani hatapata na yeye hela? Mbona Wizkid anashiriki kwenye tamasha la mondi.bro mada ni wimbo mpya.
lakini si ni kweli anatafuta mafanikio yake!au hujui kushiriki wasafi ni kufanikisha biashara za mwingine zaidi yako?
Kwani hatapata na yeye hela? Mbona Wizkid anashiriki kwenye tamasha la mondi.bro mada ni wimbo mpya.
lakini si ni kweli anatafuta mafanikio yake!au hujui kushiriki wasafi ni kufanikisha biashara za mwingine zaidi yako?
ndio maana kuna wasanii zaidi ya 50 tz.inamaana umekosa nyimbo ya kucheza kwa wengine 49 hata singeri mpaka uje kutafuta mdundiko kwa kiba!!!Kiba ana safari ndefu Sana ya kufanya vizuri Tena kwa style yake ya mziki hataweza kuongoza mashabiki kwenye mziki wake na ameshindwa kuendana na soko.Beat ya hii ngoma sijaipenda Melody si nzuri ila kwenye mashairi kafanya poa Ila wa sasa unataka kwanza beat nzuri, good Melody hata Kama mashairi yako ni ya kawaida.
faida anayoipata wizkid ni ndogo kuliko anayoipata mond.Kwani hatapata na yeye hela? Mbona Wizkid anashiriki kwenye tamasha la mondi.
Eeh ile ndio ngoma sasa.kasikilize baba lao.imeimbwa tofauti kidogo na nyingine labda utaelewa.
Soko la muziki kwanza linataka beat nzuri pili Melody nzuri hata Kama mashairi utazingua ndo maana ngoma za davido,Wizkid zinafanya vizuri hapa bongo ingawa lugha wabongo hawaelewi ukija kwenye ngoma hii ya kiba beat sio nzuri, Melody ya nyimbo sio nzuri ingawa kwenye mashairi kajitahidi.kutokana na kukosekana vitu hiv viwili beat na Melody nzuri inafanya ngoma isiwe hit.Uzuri wa nyimbo za huyu jamaa, Zina ujumbe murua na unaweza sikiliza popote hata na watoto na mkweo,.. Kwa hilo nampongeza sana,.. Nyimbo nzr saaana, maana ametufufua na wengine tusikilizie bongo fleva
Basi Kama ni hivyo kiba atakuwa ana chuki zaidi na wivu kwa mondi kuliko kutengeneza pesa.faida anayoipata wizkid ni ndogo kuliko anayoipata mond.
hujui tu ni jinsi gani faida ingekuwa kubwa zaidi kwa mond baada ya kiba kukubali kwenda hapo.
Huyu kijana wenu,anasafari ndeefu sana mpaka amfikie Mond,ameulizwa swali kwanini hataki kushiriki tamasha la wasafi,yeye anajibu hawezi kushiriki kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio yake,sasa kushiriki au kutokushiriki kuna madhara gani yawe hasi au chanya kwenye maendeleo yake!?
Ushiriki wake unamletea VP mafanikio hasi?
Mambo ya team haya juz juz tu kaongezeka watatu ,UNOGuyz yule mfalme wa Bonho fleva anayejulikana kama The king Him self Ally Salehe Kiba ametowa goma lake jipya linalokwenda kwa jina la Mshumaa sio siri ngoma ni ya moto sana haichoshi kusikiliza sijajuwa mpaka sasa Audio ame copy kwa nani na video ame copy kwa nani he is the ni goma kali sana wanangu twendeni tukaliangaliye You tube huko
"Nikufe" ndio nini?...chorus kuingiza mambo ya kufa ndo aliponiacha.
Kila akitoa nyimbo zake huwa nazungumzia hiki kitu. Nadhani unaweza kuona ngoma ya Aje ilivyo hit ni kwasababu beat ilikua imetulia lakini haya masebene sijui bolingo beat anazotoa zinamharibia nyimbo. Ajue sio wote wanenguaji ila wote wanaweza kuchezaKiba ana safari ndefu Sana ya kufanya vizuri Tena kwa style yake ya mziki hataweza kuongoza mashabiki kwenye mziki wake na ameshindwa kuendana na soko.Beat ya hii ngoma sijaipenda Melody si nzuri ila kwenye mashairi kafanya poa Ila wa sasa unataka kwanza beat nzuri, good Melody hata Kama mashairi yako ni ya kawaida.
Takataka..!
Huyu na mwenzake "mwizi wa penseli" wameshaishiwa kimuziki, yamebaki majina tu..!
Ni suala la muda tu mkongwe...Nikisikiliza wimbo wa Raha wa marioo kuanzia melodies, mashairi na beat. Huwa najua tu hizi mainstream media zinawafifisha sana watu wanaofanya vizuri ili zipate viewers
Wimbo kwaajili ya soko la ndani huu...Jamaa hapendi show-off na kiherehere cha kuvuka mipaka...ukisikia DAIBA BELE NYUBA BWIKO ndo hii sas
Ndugu kuwa makin na maneno yako coz amna MTU anayependa kufika kwenye test tube.Bashite baba lao nakataa...kutundika mimba mpaka msaada wa test tube
Kuna mpotezea muda wakati ana mengi ya kufanya kwa wakati huo.Huyu kijana wenu,anasafari ndeefu sana mpaka amfikie Mond,ameulizwa swali kwanini hataki kushiriki tamasha la wasafi,yeye anajibu hawezi kushiriki kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio yake,sasa kushiriki au kutokushiriki kuna madhara gani yawe hasi au chanya kwenye maendeleo yake!?
Ushiriki wake unamletea VP mafanikio hasi?
Nilijua peke yangu tu mkuu.Jana usiku nimeisikiliza masaa mawili mfululizo na hapa nimeamka nayo... KIBA kajua kutuweza safari hii..