herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 2,303
- 3,987
Mshumaa ni nyimbo ya mapenzi huwezi ifananisha na Baba laoBaba lao ni nyimbo ya kampeni za ccm. Huwezi fananisha na mshumaaa
Mshumaa ni nyimbo ya mapenzi huwezi ifananisha na Baba laoBaba lao ni nyimbo ya kampeni za ccm. Huwezi fananisha na mshumaaa
kunajamaa akiimba nyimbo za aina hii inasemekana anaimba mapenzi tuu cjui kwa huyu iimekaajeUzuri wa nyimbo za huyu jamaa, Zina ujumbe murua na unaweza sikiliza popote hata na watoto na mkweo,.. Kwa hilo nampongeza sana,.. Nyimbo nzr saaana, maana ametufufua na wengine tusikilizie bongo fleva
wanaweza hata kumlipa hata justine bieber,ila swala la kukubali inategemea msanii husika anajisikiaje kuperform,pesa haiamui kila kitu.Wcb wanaweza mlipa wizkid na Tiwa savage wakashindwa kumlipa Alli....?
Nikisikiliza wimbo wa Raha wa marioo kuanzia melodies, mashairi na beat. Huwa najua tu hizi mainstream media zinawafifisha sana watu wanaofanya vizuri ili zipate viewers