Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Nimeamini kweli kiba hapendi show off.
Yaani jamaa kaachia wimbo jana lakini kwenye mkutano wake na waandishi wa habari hakugusia hata hili suala la wimbo wake ili atengeneze mapokezi makubwa.
Ila kajitahidi sana kwenye wimbo huu hongera zake maana ametuambia ana nyimbo zaidi ya 60.
Now team kiba tukae mkao wa kula, ni ngoma baada ya ngoma mpaka penseli yetu ipatikane.
Hahahaha eti mpaka penseli yetu ipatikane,

Hata wakizima taa Mshumaa tunao.
 
Kwako kuongea vizuri mbele za watu ndo kupi...or kuwazalilisha ma x na wanawake wako in public kama yule mwingine we ndo unaona ni kuongea vizuri??
We kweli mluguru mfupi hadi kichwa sasa mambo ya kuzalisha yametoka wapi?
Heshima ya mwanaume ni kuzalisha sasa kama wewe huna huo uwezo kaa tuliza kitako
 
Kwa heshima niliyonayo kwako halaf na comment uloweka hapa ujue unaniweka njia panda mkuu nisijue niseme nn!!?
Prefference yangu juu ya KiBa isikutoe akili mkuu, nina uhuru wa kupenda ama kuchukia kazi zake. Huna haja ya ku doubt chochote juu ya uelewa wangu mkuu. Its like that, some people love but can as well hate.
 
Unaelewa business na principles za ushindani !!!...
Diamond mwenyewe ni mjanja sana ndio maana anatumia udhaifu wa Kiba kulipa promo tamasha lake maana anajua word of mouth ina impact kubwa kuliko hata hizo promo za redioni
Achana nae huyu hakuna anachojua zaid ya midundo na mashairi sijui hit song n.k lakin how hiz mambo zinaingiza pesa hajui lolote.Yy hajiuliz tubkwann mpaka leo ronaldo na messi wanapasua vichwa watu?!zile ni business planns.kiba kukubal kushirik wasaf festival ina business impact kubwa sana.Positivelly kwa Mond na hilo ndio Kabur la Kiba.So mond ni mjanja sana kama ulivyosema ila kiba kaona jamaa anapotaka kupita.
 
Wafuasi wake utasikia anazo nyingi ila apendi show off....
 
Mi sizungumzii wimbo. Nazungumzia scene ya mwisho kabisa wimbo unaelekea mwisho. Nimekumbuka maneno ya Bob Marley. Pale Alikiba alikua akifunga mlango. Nyuma yake kuna mlango mwingine unafunguka.
Nipeni likes kwa wale ambao hamkuliona hilo. "When one door is closed, the other is open"
Dah sanaa bhana.
 
We kweli mluguru mfupi hadi kichwa sasa mambo ya kuzalisha yametoka wapi?
Heshima ya mwanaume ni kuzalisha sasa kama wewe huna huo uwezo kaa tuliza kitako
Nenda kajifunze kwanza kusoma,huwa sibishani na wajinga ambao hawajui hata kusoma...iulize tena iyo akili yako iliyojaa makamasi ikuoneshe wapi nimeandika "kuzalisha"... Or umezoea kuzalishwa zalishwa so kila unachokiona mbele yako akili yako inaona kuzalishwa...enhee nambie mpaka sahivi umezalishwa watoto wangapi na wanaume waliokupitia???
 
Best of the best of good music series of the King himself you can listen it everywhere and everytime hasa kwa sisi watu wazima umeweka earphone zako kama umebarikiwa kausafiri unaweka wimbo umausikiliza taratibu hata kama upo na watu. Appreciate that.
True dat huu wimbo uusikilize ukiwa katika ka ist kako huku kamvua kananyesha hadi raha mkuu, wimbo mzuri sana
 
Huyu kijana wenu,anasafari ndeefu sana mpaka amfikie Mond,ameulizwa swali kwanini hataki kushiriki tamasha la wasafi,yeye anajibu hawezi kushiriki kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio yake,sasa kushiriki au kutokushiriki kuna madhara gani yawe hasi au chanya kwenye maendeleo yake!?
Ushiriki wake unamletea VP mafanikio hasi?
Ngoja kwanza nisikilize mshumaa ya king himself, ntakujibu baadae
 
Soko la muziki kwanza linataka beat nzuri pili Melody nzuri hata Kama mashairi utazingua ndo maana ngoma za davido,Wizkid zinafanya vizuri hapa bongo ingawa lugha wabongo hawaelewi ukija kwenye ngoma hii ya kiba beat sio nzuri, Melody ya nyimbo sio nzuri ingawa kwenye mashairi kajitahidi.kutokana na kukosekana vitu hiv viwili beat na Melody nzuri inafanya ngoma isiwe hit.
Hujui mziki mzuri wewe, unasema beat mbaya labda masikio yako yamepinda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom