Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Kiba ajaribu tena na tena kuendana na mziki wa kisasa unavyotaka, atafika tu, one day yes.
 
Best of the best of good music series of the King himself you can listen it everywhere and everytime hasa kwa sisi watu wazima umeweka earphone zako kama umebarikiwa kausafiri unaweka wimbo umausikiliza taratibu hata kama upo na watu. Appreciate that.
 
Amenitoa kwenye hamasa ya lile tamasha la taifa
 
Guyz yule mfalme wa Bonho fleva anayejulikana kama The king Him self Ally Salehe Kiba ametowa goma lake jipya linalokwenda kwa jina la Mshumaa sio siri ngoma ni ya moto sana haichoshi kusikiliza sijajuwa mpaka sasa Audio ame copy kwa nani na video ame copy kwa nani he is the ni goma kali sana wanangu twendeni tukaliangaliye You tube huko

Huyu kijana wenu,anasafari ndeefu sana mpaka amfikie Mond,ameulizwa swali kwanini hataki kushiriki tamasha la wasafi,yeye anajibu hawezi kushiriki kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio yake,sasa kushiriki au kutokushiriki kuna madhara gani yawe hasi au chanya kwenye maendeleo yake!?
Ushiriki wake unamletea VP mafanikio hasi?
 
Huyu kijana wenu,anasafari ndeefu sana mpaka amfikie Mond,ameulizwa swali kwanini hataki kushiriki tamasha la wasafi,yeye anajibu hawezi kushiriki kwa sababu na yeye anatafuta mafanikio yake,sasa kushiriki au kutokushiriki kuna madhara gani yawe hasi au chanya kwenye maendeleo yake!?
Ushiriki wake unamletea VP mafanikio hasi?
bro mada ni wimbo mpya.

lakini si ni kweli anatafuta mafanikio yake!au hujui kushiriki wasafi ni kufanikisha biashara za mwingine zaidi yako?
 
Kiba ana safari ndefu Sana ya kufanya vizuri Tena kwa style yake ya mziki hataweza kuongoza mashabiki kwenye mziki wake na ameshindwa kuendana na soko.Beat ya hii ngoma sijaipenda Melody si nzuri ila kwenye mashairi kafanya poa Ila wa sasa unataka kwanza beat nzuri, good Melody hata Kama mashairi yako ni ya kawaida.
 
Uzuri wa nyimbo za huyu jamaa, Zina ujumbe murua na unaweza sikiliza popote hata na watoto na mkweo,.. Kwa hilo nampongeza sana,.. Nyimbo nzr saaana, maana ametufufua na wengine tusikilizie bongo fleva
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom