Monda kubwa
Senior Member
- Jun 20, 2019
- 121
- 158
NGOma ya kusikiliza saafi
Unaweza kuombea mkopo Bank ya Dunia ukapewa bila masharti yoyote.
Honestly nimependa maneno aliyotumia kufikisha ujumbe, yanagusa mpaka kumoyo hasa kama bahati mbaya upo kwenye ile phase ya 'maumivu per day' then this song is obviously on a repeat mode just automatically.!!Hii nyimbo nzuri sana, kwa wanaojua mziki mzuri lakini
Yaani we acha tu,wimbo huu umefanya nivute kumbukumbu za miaka 10 nyuma nilipoumizwa kwa mara ya kwanza.Honestly nimependa maneno aliyotumia kufikisha ujumbe, yanagusa mpaka kumoyo hasa kama bahati mbaya upo kwenye ile phase ya 'maumivu per day' then this song is obviously on a repeat mode just automatically.!!
Nimekucheka badala nikuonee imani,Yaani we acha tu,wimbo huu umefanya nivute kumbukumbu za miaka 10 nyuma nilipoumizwa kwa mara ya kwanza.
Repeat mode hadi kesho asubuhi hapaHonestly nimependa maneno aliyotumia kufikisha ujumbe, yanagusa mpaka kumoyo hasa kama bahati mbaya upo kwenye ile phase ya 'maumivu per day' then this song is obviously on a repeat mode just automatically.!!
Kuna mtu katoka kunambia the same thing hapa kuhusu 'repeat mode'.!!Repeat mode hadi kesho asubuhi hapa
Huwezi ona kipya mkuu,Sioni kipya....
Poor management... That can't add up
Haaa haaa haaa nipe pole tu mkuu maana sijawahi tena kumpata msichana kama yuleNimekucheka badala nikuonee imani,
Pole mkuu!!
Kwa kba Mimi si kipofu tu .. Ila ni tGo kabisaHuwezi ona kipya mkuu,
'Kipofu' huwa haoni.!!
Change yo mindset then utakuwa na zaidi ya yule.!!Haaa haaa haaa nipe pole tu mkuu maana sijawahi tena kumpata msichana kama yule
Let me try dat!Change yo mindset then utakuwa na zaidi ya yule.!!
Aisee huyu jamaa ananifanya nashindwa kulala na hii ngoma yake.Ngoma Kali sana,.
..Labda nkukumbushe nilipo kuvisha pete uliyasema machache,,.
Kiba kachafua hali ya hewa Wimbo wa Taifa huu