Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Mshumaa: Ngoma mpya ya Ali Kiba ni fire

Kiba ana safari ndefu Sana ya kufanya vizuri Tena kwa style yake ya mziki hataweza kuongoza mashabiki kwenye mziki wake na ameshindwa kuendana na soko.Beat ya hii ngoma sijaipenda Melody si nzuri ila kwenye mashairi kafanya poa Ila wa sasa unataka kwanza beat nzuri, good Melody hata Kama mashairi yako ni ya kawaida.
Hawezi imba kumfurahisha kila mtu
 
Ana bahati ameshtuka mapema, ila ndo alikua anasahaurika taratibu yan, kwenye game alikua konde na simba tu
 
Atae uskiza huo wimbo atupe report
 
Km kawaida yake "the king himself" uwa hakosei katembea mulemule kwny njia zake..ngoma km hizi kwa sisi tunaojua muziki ua tunaziita "classic music" hakuna kelele..hakuna matusi..hakuna mishapo...hakuna ushubwana...ni voko na melodi kali...

Miaka buku Kiba ataendelea kukalia kiti chake km "The King of Classic Music"...Bigup kiba you are the real talent much respect for you....yeeebaba!
 
hiyo ni biashara bro,ukiingiza mambo personal ama mitazamo ya chuki nk utakuwa unafanya vitu vingine kabisa.

labda nikuulize kiba anaweza lipwa na wcb zaidi ya mill 10?kwa show moja?
Kwani Wizkid atalipwa sh ngapi na diamond?
 
Nimeamini kweli kiba hapendi show off.
Yaani jamaa kaachia wimbo jana lakini kwenye mkutano wake na waandishi wa habari hakugusia hata hili suala la wimbo wake ili atengeneze mapokezi makubwa.
Ila kajitahidi sana kwenye wimbo huu hongera zake maana ametuambia ana nyimbo zaidi ya 60.
Now team kiba tukae mkao wa kula, ni ngoma baada ya ngoma mpaka penseli yetu ipatikane.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom