mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,900
- 2,100
Ilibidi ameze mate ndio akatia Nukta baada ya Neno KahoaUandishi wake nimeupenda una kituo kimoja tu katikati ya story..
Ilibidi ameze mate ndio akatia Nukta baada ya Neno KahoaUandishi wake nimeupenda una kituo kimoja tu katikati ya story..
Ha ha ha. Ka-HOA huyo ndio maana mambo si mambo. Ange-OA, mambo yangekuwa Shwari tu😉Kuhoa ndio nn?!
Siyo wa kwetu[emoji85] [emoji85] [emoji85]jaman hizo art sio za kisukuma ujue !hahaha huyu lazima mtu wa pwani iwe isiwe!wengi wavivu kujiendeleza
Tanga raha jamani![emoji3]Mnamambo nyie. Tanzania ilivyo na mikoa mingi lakini kila kukicha Tanga tu.
Kwani si kaenda mwenyewe au alipelekwa. Ila kiukweli kila mwanamke ana tabia yake hivyo mnapounganisha wote huwa nashangaa sana.
Siyo wa kwetu[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Wacha weee. [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tanga raha jamani![emoji3]
Nakuja mkuu nikufaidi sarufi peleka shule wasikuchoshe mfyuuWe uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni
Kilimanjaro mfyuuuHii mikoa ina mikosi ya wanawake: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Mbeya......kwa mwanamme ukitaka kuchanganikiwa maishani oa mwanamke wa hii mikoa. Yaani kero tupu, kama si ushirikina basi utalizwa na ukahaba na utapeli wa mapenzi pamoja na kuwekwa roho yako rehani.
kuhoa ndo kitu ganiWadau nina jamaa angu kaoa mwanamke wa tanga(msambaa) duu ni kwamba awa ni watu wa ajabu sijapata kuona hawana aibu kabisaa kama mnavyojua maisha ya sisi vijana ya kuungaunga wana watoto wawili wa kiume jamaa kapanga chumba na sebule familia ya mwanamke yotevimehamia kwajamaa alianza. Mama mkwe saiz wsmekuja watoto wake wawili wA kiume na kike wa kike ana mtoto jamaa amejaribu kunywa pombe akafanya fujo nyumbani akamchapa mpaka ma mkwe lakini wapi hakuna aliyeondoka mpaka saizi ukifika mlangoni kwa jamaa unaweza jua ni msikitini maana ndala zimejaa hapo badilikeni jamaa hajahoa ukoo nimeuliza naambiwa ndo tabia za wasambaa wote
Wanatuchosha tu kila siku wanapaita Tanga bwanaKweli kabisa malalamiko kama haya tusingeyaona.
nikiswahili cha Dar, matumizi ya ''a'' ha'' ra'' na la'' ni janga kwa waswahili wa sasaKuhoa ndio nn?!
Lkn ndiyo mikoa ya watu wasomi na wenye upeo wa juu wa maisha, angalia utajiri wao, hakuna njaa wala wajinga na haiwezi kuwa na level sawa na mkoa wako we nenda kaoe/kaolewe na unaofanana nao ....mwisho nikusihi mfundishe nduguyo kuandika, ona alivyokuabisha.Hii mikoa ina mikosi ya wanawake: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Mbeya......kwa mwanamme ukitaka kuchanganikiwa maishani oa mwanamke wa hii mikoa. Yaani kero tupu, kama si ushirikina basi utalizwa na ukahaba na utapeli wa mapenzi pamoja na kuwekwa roho yako rehani.
Ndo ujue ujinga na wajinga humu lazima wakubali kusahihishwa iwe kwa kejeli au kiustaarabuSio kupanic jombii nishapokea marekebisho lakini sasa kila mtu amekua ni mrekebishaji baada ya kujikita kwenye mada hata ambaye haelewi na yeye anafata mkumbo
kuna mchaga mmoja nanikosha sana humu.. sasa kwa orodha hiyo duu ..Ndo ujue ujinga na wajinga humu lazima wakubali kusahihishwa iwe kwa kejeli au kiustaarabu
Ushauri mzuri umejaa hekima.Tuacheni tupumue angalau Lol!Ndio hapo unaunganishaje wanawake wote wanaotokea Tanga halafu kila siku humu mambo ni Tanga tu mara mwanaume kapewa mapenzi kachanganywa na mwanamke kutoka Tanga jaman basi ukitongoza akikwambia anatoka Tanga achana nae tu jaman ili uishi kwa amani utafute mwanamke wa kabila lako ili muendane