Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

Sasa nani alimtuma ahoe badala ya kuoa, hayo ndio madhara yake
 
Kila siku humu jf nikiona makosa ya kisarufi kama haya kahoa=kaoa,arufu=harufu na maengine mengi yanayohusu matumizi mabaya ya herufi 'h' na 'a' huwa najiuliza tatizo ni nini? Je watu wanaochanganya matumizi ya herufi hizi hawakufundishwa matumizi sahihi ya herufi hizo au wameathiriwa na lugha zao za asili?
 
Wadau nina jamaa angu kaoa mwanamke wa tanga(msambaa) duu ni kwamba awa ni watu wa ajabu sijapata kuona hawana aibu kabisaa kama mnavyojua maisha ya sisi vijana ya kuungaunga wana watoto wawili wa kiume jamaa kapanga chumba na sebule familia ya mwanamke yotevimehamia kwajamaa alianza. Mama mkwe saiz wsmekuja watoto wake wawili wA kiume na kike wa kike ana mtoto jamaa amejaribu kunywa pombe akafanya fujo nyumbani akamchapa mpaka ma mkwe lakini wapi hakuna aliyeondoka mpaka saizi ukifika mlangoni kwa jamaa unaweza jua ni msikitini maana ndala zimejaa hapo badilikeni jamaa hajahoa ukoo nimeuliza naambiwa ndo tabia za wasambaa wote
Asilimia kubwa ukioa ktk familia masikini tegemea haya!!
 
Wadau nina jamaa angu kaoa mwanamke wa tanga(msambaa) duu ni kwamba awa ni watu wa ajabu sijapata kuona hawana aibu kabisaa kama mnavyojua maisha ya sisi vijana ya kuungaunga wana watoto wawili wa kiume jamaa kapanga chumba na sebule familia ya mwanamke yotevimehamia kwajamaa alianza. Mama mkwe saiz wsmekuja watoto wake wawili wA kiume na kike wa kike ana mtoto jamaa amejaribu kunywa pombe akafanya fujo nyumbani akamchapa mpaka ma mkwe lakini wapi hakuna aliyeondoka mpaka saizi ukifika mlangoni kwa jamaa unaweza jua ni msikitini maana ndala zimejaa hapo badilikeni jamaa hajahoa ukoo nimeuliza naambiwa ndo tabia za wasambaa wote
Ngoja nicheke kwanza hahahahaaaaaaa!!!!
 
Mnamambo nyie. Tanzania ilivyo na mikoa mingi lakini kila kukicha Tanga tu.

Kwani si kaenda mwenyewe au alipelekwa. Ila kiukweli kila mwanamke ana tabia yake hivyo mnapounganisha wote huwa nashangaa sana.
Shukrani kwa majibu
 
Uzuri wanawake wa huko hawana hiyana anaweza kumuomba mama mkwe mbututu na akapewa vzr tu
 
jaman hizo art sio za kisukuma ujue !hahaha huyu lazima mtu wa pwani iwe isiwe!wengi wavivu kujiendeleza
We uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni
 
We uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni
Usipanic jombaa kubali kurekebishwa
 
Mtu MUONGO muangalie MDOMO wake tu.......kahoa tanga.....ndy mdudu gani?
 
Kuna jamaa mmoja pia alioa msambaa ndugu wa mwanamke wote wamehamia kwake baba mama dada na kaka zake na wadogo zake jamaa anavyumba vitatu na sebule
Kama ni mimi nashinda na taulo tuu,nikihitaji mzigo namuita mtoto wao mchana nampiga mkuyenge anatoa vilio nao wanasikia.
 
Wadau nina jamaa angu kaoa mwanamke wa tanga(msambaa) duu ni kwamba awa ni watu wa ajabu sijapata kuona hawana aibu kabisaa kama mnavyojua maisha ya sisi vijana ya kuungaunga wana watoto wawili wa kiume jamaa kapanga chumba na sebule familia ya mwanamke yotevimehamia kwajamaa alianza. Mama mkwe saiz wsmekuja watoto wake wawili wA kiume na kike wa kike ana mtoto jamaa amejaribu kunywa pombe akafanya fujo nyumbani akamchapa mpaka ma mkwe lakini wapi hakuna aliyeondoka mpaka saizi ukifika mlangoni kwa jamaa unaweza jua ni msikitini maana ndala zimejaa hapo badilikeni jamaa hajahoa ukoo nimeuliza naambiwa ndo tabia za wasambaa wote
Sio kuhoa ni kuoa.
 
We uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni


sawa! sikuwa namaanisha ukubwa namna hyo!samahani mkubwa!
 
Mnamambo nyie. Tanzania ilivyo na mikoa mingi lakini kila kukicha Tanga tu.

Kwani si kaenda mwenyewe au alipelekwa. Ila kiukweli kila mwanamke ana tabia yake hivyo mnapounganisha wote huwa nashangaa sana.


Hii mikoa ina mikosi ya wanawake: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Mbeya......kwa mwanamme ukitaka kuchanganikiwa maishani oa mwanamke wa hii mikoa. Yaani kero tupu, kama si ushirikina basi utalizwa na ukahaba na utapeli wa mapenzi pamoja na kuwekwa roho yako rehani.
 
Back
Top Bottom