Abdallah M. Nassor
JF-Expert Member
- Mar 20, 2008
- 600
- 620
Kweli mamy tumechoka na hizi mambo zao kila siku ni Tanga tuuuuUshauri mzuri umejaa hekima.Tuacheni tupumue angalau Lol!
Mikosi mnayo nyie mnaowaoa hao wa Tanga umeshamtongoza unajua wa Tanga au Kilimanjaro au mbeya si umuache asije akakulutea mikosi kwa nini unajipeleka kwenye mikosiHii mikoa ina mikosi ya wanawake: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Mbeya......kwa mwanamme ukitaka kuchanganikiwa maishani oa mwanamke wa hii mikoa. Yaani kero tupu, kama si ushirikina basi utalizwa na ukahaba na utapeli wa mapenzi pamoja na kuwekwa roho yako rehani.
Wanajifanya wanaponda huku mioyo yao yote ipo huko huko!Kweli mamy tumechoka na hizi mambo zao kila siku ni Tanga tuuuu
Lakini Kaskazini tumezidi!!!!!!Asilimia kubwa ukioa ktk familia masikini tegemea haya!!
Wanataka kujaribu kuna nini mfyuuuuuWanajifanya wanaponda huku mioyo yao yote ipo huko huko!
Halafu wakionjeshwa wanasahau kwao wanabaki kulalama wamelogwaWanataka kujaribu kuna nini mfyuuuuu
Wakaskazi hawezi kufanana nawewe hata muandiko wako tu unakusutaLakini Kaskazini tumezidi!!!!!!
Si ndio mawazo yao yanapowaleka hawajui wadada wa Tanga wamefunzwa unyenyekevu na ukarimu na jinsi ya kuishi vizuri na mume wao wameshazoea mapenzi yao ya kuamriashwa huko wakikutana na watu waoHalafu wakionjeshwa wanasahau kwao wanabaki kulalama wamelogwa
Ni kweli maana mie si Wakaskazi bali wa Kaskazini. Ukweli unauma pole sanaWakaskazi hawezi kufanana nawewe hata muandiko wako tu unakusuta
Huyu ni msukuma kabisaa. Amethiriwa na kisukuma ambao huweka stress/mkazo wanapoongea herufi - g-h-.hahaha sio kbs yaan
Sijui wenzetu wanasoma shule gani??Uandishi wake nimeupenda una kituo kimoja tu katikati ya story..
Ni kwa sababu watu wengi wa mikoani wamehamia kutafuta maisha ndio hao wanaoharibu kwa sababu wanashindwa kujirekebishanikiswahili cha Dar, matumizi ya ''a'' ha'' ra'' na la'' ni janga kwa waswahili wa sasa
[emoji23] [emoji23] tanga ipewe heshima yakeWacha weee. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio siri swahiba umefanya nimkumbuke yule mjomba wetu ujue. Anajuata kuifahamu Tanga.
Tabia ni kwa baadhiHii mikoa ina mikosi ya wanawake: Tanga, Kilimanjaro, Iringa, Njombe, Mbeya......kwa mwanamme ukitaka kuchanganikiwa maishani oa mwanamke wa hii mikoa. Yaani kero tupu, kama si ushirikina basi utalizwa na ukahaba na utapeli wa mapenzi pamoja na kuwekwa roho yako rehani.
Fursa km hz uwa hutaki zikupitie mbali mkuu!Nakuja mkuu nikufaidi sarufi peleka shule wasikuchoshe mfyuu
[emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] tanga ipewe heshima yake