Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

Mshikaji wangu kaoa Tanga anajuta

Swala sio kuoa tanga swala kaoa mwanamke ambaye hawez kujiongeza
 
We uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni
Umeenda mbali sana, rafiki! Kukosea kupo, ni sehemu ya maisha; kwani ungekubali kuwa umekosea ungepungukiwa na kitu?
Na mm nitahoa tanga
 
Naomba kwa anayejua hili antusaidie.
Kaka yangu kaoa Tanga wameishi na mkewe kwa amani na furaha. Lakini kama mnavyo jua mke na mume si malaika mara chache wamekuwa wakitofautiana kwa mambo madogo madogo.

Kuna siku kaka alichukua simu ya wifi, kitu kilichomshangaza ni kukuta majina ya wazazi wake kuonekana yametumwa kwa mtu. Alichukua namba na kuipiga na alipoongea na huyo mtu aliyetumiwa majina alijitambulisha kuwa ni mganga wa kienyeji.

Alipomhoji majina aliyotumiwa hivi karibuni ni kwa ajili ya kufanyia nini? Mganga akamjibu, nenda ukamuulize mkeo.

Ndugu wana JF tungependa kujua nini hasa maana ya majina ya wazazi wa mwanaume kutumwa kwa mganga wa kienyeji? Msaada jamani kabla mambo hayajawa ovyo.
 
Wadau nina jamaa angu kaoa mwanamke wa tanga(msambaa) duu ni kwamba awa ni watu wa ajabu sijapata kuona hawana aibu kabisaa kama mnavyojua maisha ya sisi vijana ya kuungaunga wana watoto wawili wa kiume jamaa kapanga chumba na sebule familia ya mwanamke yotevimehamia kwajamaa alianza.

Mama mkwe saiz wsmekuja watoto wake wawili wA kiume na kike wa kike ana mtoto jamaa amejaribu kunywa pombe akafanya fujo nyumbani akamchapa mpaka ma mkwe lakini wapi hakuna aliyeondoka mpaka saizi ukifika mlangoni kwa jamaa unaweza jua ni msikitini maana ndala zimejaa hapo

Badilikeni jamaa, hajahoa ukoo nimeuliza naambiwa ndo tabia za wasambaa wote.

Noma sana mkuu,ila Jamaa amekosea sana kumchapa Mama mkwe,huyo ni kama Mama yake tu
 
We uliejiendeleza una nini peleka upuuzi wako kwani hujaelewa nilikua namanisha nini hata kama nilihishia la 4 unaweza kuta nina maisha mazuri kuliko wewe unayejua kuoa na kuhoa kama unabisha nifate inbox uone miradi ninayoendesha we mpuuzi huna na iyo elimu yako ya vitabuni

Mkuu punguza hasira
 
Hawa jamaa ni hatari, Kuna mwana alikaa kwa rafiki miaka 5, na hakuwahi kujistukia maana hayajielewi haya aiseee!!
Ila kazi kwake maana dini nayo imesema kuwa ukitaka kuoa zingatia mambo 4:-
Dini
Vinasaba vya Ukoo
Uwezo Kiuchumi
Love...Umpende haswa.
Sasa vijana tunakamatia katika Love tu! Baadae tunalia
 
Ndala msikitini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
 
  • Kicheko
Reactions: BAK
Back
Top Bottom