Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 20,028
- 16,150
Ndio kuoaKuhoa ndio nn?!
Ndio kuoaKuhoa ndio nn?!
Ndiyo mkuu si unajua unacheza na upenyoFursa km hz uwa hutaki zikupitie mbali mkuu!
Inawezekana hii kweli Mkuu mpaka mama mkwe duuuu?Uzuri wanawake wa huko hawana hiyana anaweza kumuomba mama mkwe mbututu na akapewa vzr tu
Huu ujinga big NOKuna jamaa mmoja pia alioa msambaa ndugu wa mwanamke wote wamehamia kwake baba mama dada na kaka zake na wadogo zake jamaa anavyumba vitatu na sebule
We Me au KE nasikiaga wamasai ndio noma zaidi wanahamia wote ni kweli?Ha ha ha ha ha ha shuhurii mi nipo na masai wangu hatunaga neno maisha mzuri kwakweli hawanaga mawenge