Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 2,483
- 5,624
Inatoka serikalini maana inaandikwa MUSE payment no.... Lakini ni the same amount mwezi wa pili mfululizo na haisemi ni malipo ya nini zaidi ya kusema MUSE payment....Pesa yote inayotumwa kwenye akaunti lazima kwenye bank statement ioneshe imetumwa na nani.. lazima utakua umejua alietuma ama anaetuma
Ngoja niishie hapo