Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Haya ATM zinamwagika mihela mliyokua mnasubiria kwa machozi Sasa niwaulize mnamsikiliza mufti wenu wa mchongo ama mnaenda kulianzisha bar na lounge zilizo karibu yenu ...
 
TANGAZO TANGAZOKwa waajiriwa tunawakumbusha Mshahara wa March utunzwe vizuri kwa Wivu mkubwa, kuna tafrija itakuwepo kwa Long Weekend kuanzia hapo 3rd April tutarejea kazini on 8th April.Tukitoka kwa Kaisari Thursday tutarejea the Next Wednesday.

Nimeitoa huko
 
Hivi haya madarajara/increment walizodai kila mtumishi atakua anapata mwezi alioajiriwa mbona sioni chochote au ni mimi... hii serikali ina useng sana
 
Hivi haya madarajara/increment walizodai kila mtumishi atakua anapata mwezi alioajiriwa mbona sioni chochote au ni mimi... hii serikali ina useng sana
Annual Increment ipo na kila mtu anapata Baada ya Mwaka mmoja kama uliajiriwa Mwezi January huwa February ndio increment inakuwepo kwa kila Mwaka

Daraja kama ni ajira Mpya Baada ya miaka mi5 ial mongwe ni miaka mi3

Sema Madaraja huwa kuna mambo mengi hapa katikati hadi upande kuna Mapempis sijui Bajet mara kama huna mashauri ya kinidhamu
 
Back
Top Bottom