Msemo ninaouchukia

Je tunapinga kwamba kila kitu kina sababu?

Hapana sipingi. Ni kweli kila kitu kina sababu...just like kila uamuzi/tendo lina matokeo.


Mimi nasema maana yake ni kwamba kila kitu kinachotokea, na mara nyingi hata kama kibaya, basi kina maane yake kutokea kwa sababu siku za mbele kitakuja kusababisha mazuri.

Kaka, ishu yangu mimi ni kwamba kuna uhakika gani hicho "tuzuri" tuko in the future?


For everything that happens, there is a reason.

I agree!.....the reason might have been settled in the past. Who would know!!!
 
Kisura,

Msemo wa "everything happens for a reason" nadhani huuelewi.

You think?

By the way, hiyo argument sidhani kama ina make sense.

Nini kinakufanya ufikiri ni mechanical failure kama huna clue yoyote na unasubiri ripoti?

Sasa hapa ishu ya nini? Mimi kufikiri??? (Totally Irrelevant)

My point, Chopa imeenda chini, regardless of the nature of the cause, undetermined if I may add, kuna sababu iliyopelekea chopa kwenda chini. Sasa unachobisha kipi katika hili?
 
You think?



Sasa hapa ishu ya nini? Mimi kufikiri??? (Totally Irrelevant)

My point, Chopa imeenda chini, regardless of the nature of the cause, undetermined if I may add, kuna sababu iliyopelekea chopa kwenda chini. Sasa unachobisha kipi katika hili?

Kisura,

Nafikiri wanafalsafa hawa wanaongelea reason as in purpose, forward looking deterministic and optimistic outlook as such.

Too much drinking of "The Purpose Driven Life" perhaps?
 
LOL...inawezekana kuwa jambo zuri (fweza kedekede) lililowatokea wakina Mkapa, Chenge na timu mzima ya mafisadi huko nyuma limesababisha jambo baya ya uangukaji wa chopa hiyo leo hii...

Hapana sivyo hivyo! Kuweka jinsi ulivyoweka kunamaanisha kuwa hizo variables (baya na zuri) zinaweza ku-switch places. Mimi question ni kuwa kuna uhakika gani wa hili jambo zuri kuwa in the future, na sio in the past?

Mfano, unapokosa kazi uliyokuwa unaifukuzia, then ukasema "oh well everything happens for a reason"...meaning kwamba pengine umeikosa hii kazi leo, kwa sababu kuna kazi mzuri zaidi inakuja in the future. Je what if , hiyo kazi mzuri zaidi ilishapita huko nyuma na pengine ukaibeza? Una uhakika gani hiyo "kazi mzuri" iko huko mbeleni?

Naomba tutofautishe reason = cause na reason = purpose.

I support the reason = cause, I do not support the reason = purpose.

There are some things in life that are totally purposeless, beginning with life and its genesis itself.
 
Maana yake iko straightforward

…For everything that happens, there is a reason

You are wrong. I’ll show you why:

Kaka, ishu yangu mimi ni kwamba kuna uhakika gani hicho "tuzuri" tuko in the future?

Kwa sababu hai make sense kusema kwamba leo nimeshindwa interview ya kazi lakini ni poa kwa sababu faida yake ilisha tokea nyuma. Sasa nini kimesababisha kingine?

Unachoongelea wewe, kwamba lilitokea zuri huko nyuma (nilipata kazi nikaikataa, ndio maana niko hapa leo nimekosa hii kazi mpya) hicho unacho kiongelea wewe ni cause and effect, ni kitu kingine tofauti.

Hicho mnachokiongelea nyinyi ni cause and effect.

Hicho ndio anachodhani Pundit huu msemo unamaanisha. Lakini na yeye anakosea vibaya vibaya. Sio tu haitumiki hivyo, bali pia haimaanishi hivyo katika misingi ya sarufi.

"Everything happens for a reason" haimaanishi "everthing happens as a result of a reason."

Inamaanisha Everything that happens is a reason for "something else" to happen.
Which means that, that "something else" can never be in the past!

Kwa hiyo, tukiongelea kukosa kazi, kwa mfano, halafu rafiki yako akakupoza "everything happens for a reason." The "something" ni kukosa kazi, na the "something else" ni matokea yatakayosababishwa na kukosa kazi, ambayo lazima yawe mbeleni!
 
Mfano, unapokosa kazi uliyokuwa unaifukuzia, then ukasema "oh well everything happens for a reason"...meaning kwamba pengine umeikosa hii kazi leo, kwa sababu kuna kazi mzuri zaidi inakuja in the future. Je what if , hiyo kazi mzuri zaidi ilishapita huko nyuma na pengine ukaibeza? Una uhakika gani hiyo "kazi mzuri" iko huko mbeleni?

"what ifs", "what ifs", What if you are wrong? What if they are right? What are the chances that good thing has not happened as opposed to something happening in the future? What if ? Wivu au Kikorosho??? LOL!
 
You are wrong. I’ll show you why:



Kwa sababu hai make sense kusema kwamba leo nimeshindwa interview ya kazi lakini ni poa kwa sababu faida yake ilisha tokea nyuma. Sasa nini kimesababisha kingine?

Unachoongelea wewe, kwamba lilitokea zuri huko nyuma (nilipata kazi nikaikataa, ndio maana niko hapa leo nimekosa hii kazi mpya) hicho unacho kiongelea wewe ni cause and effect, ni kitu kingine tofauti.

Hicho mnachokiongelea nyinyi ni cause and effect.

Hicho ndio anachodhani Pundit huu msemo unamaanisha. Lakini na yeye anakosea vibaya vibaya. Sio tu haitumiki hivyo, bali pia haimaanishi hivyo katika misingi ya sarufi.

"Everything happens for a reason" haimaanishi "everthing happens as a result of a reason."

Inamaanisha Everything that happens is a reason for "something else" to happen.
Which means that, that "something else" can never be in the past!

Kwa hiyo, tukiongelea kukosa kazi, kwa mfano, halafu rafiki yako akakupoza "everything happens for a reason." The "something" ni kukosa kazi, na the "something else" ni matokea yatakayosababishwa na kukosa kazi, ambayo lazima yawe mbeleni!

Nilishaeleza hapo mwanzo jinsi interpretations za reason kama cause na reason kama purpose zinavyoweza kubadilisha maana ya sentensi.

BTW interpretations zote mbili ni valid, contrary to your refutation.
 
"Inamaanisha Everything that happens is a reason for "something else" to happen. Which means that, that "something else" can never be in the past!

Kuhani Mkuu,

/Everything happens/ for a /reason/.

That saying means that everything (good or bad) has a reason as to why it happens. It does not endorse that something else (good or bad) will happen in the future. The "something else" could have as well happened in the past.

Now, people usually use it as a type of comfort; hoping that maybe something terrible may seem really bad at that time, but you never know what other thing it can lead to (future), and that other thing "maybe" positive.

Nafikiri unauzunguka huo msemo too much. It's just a very straightforward saying.
 
Kuhani Mkuu,

/Everything happens/ for a /reason/.

That saying means that everything (good or bad) has a reason as to why it happens. It does not endorse that something else (good or bad) will happen in the future. The "something else" could have as well happened in the past.

Now, people usually use it as a type of comfort; hoping that maybe something terrible may seem really bad at that time, but you never know what other thing it can lead to (future), and that other thing "maybe" positive.

Nafikiri unauzunguka huo msemo too much. It's just a very straightforward saying.

QM,

I think Kuhani is correctly arguing to dispute the interpretation that Everything that happens has a meaning.
 
maana yake nini?

Kuhani Mkuu,

Kwa uelewa wangu mdogo, nafikiri huu msemo "Whatever happen, hapen for a reason" nafikiri upo straight forward. Chochote kinachotokea, kunakuwa kuna sababu iliyopelekea hicho kilichotokea kutokea! Whether negative ama Positive.
Mfano hiyo ndege iliyoanguka, imeanguka kutokana na sababu kadha wa kadha, na siyo kwamba imeanguka tu.


LOL...inawezekana kuwa jambo zuri (fweza kedekede) lililowatokea wakina Mkapa, Chenge na timu mzima ya mafisadi huko nyuma limesababisha jambo baya ya uangukaji wa chopa hiyo leo hii...

Hapana sivyo hivyo! Kuweka jinsi ulivyoweka kunamaanisha kuwa hizo variables (baya na zuri) zinaweza ku-switch places. Mimi question ni kuwa kuna uhakika gani wa hili jambo zuri kuwa in the future, na sio in the past?

Mfano, unapokosa kazi uliyokuwa unaifukuzia, then ukasema "oh well everything happens for a reason"...meaning kwamba pengine umeikosa hii kazi leo, kwa sababu kuna kazi mzuri zaidi inakuja in the future. Je what if , hiyo kazi mzuri zaidi ilishapita huko nyuma na pengine ukaibeza? Una uhakika gani hiyo "kazi mzuri" iko huko mbeleni?

QM,

For the statement highlighted in red, na issue whatever happen has a reason bado unakubalika hapa, Guess what, Utakuwa umeikosa hiyo kazi uliyokuwa ukiifukuzia (Thats what happen 'kuikosa") kwa sababu hukuqualify kwa hiyo kazi (This is a reason 'qualification'). On the other hand, yule jamaa atayekuwa ameipata hiyo kazi (What happen to him/her 'kapata kazi'), ni kwa sababu amequalify kwa nafasi hii (This is the reason 'qualification')

Need I say more????????


By the way, what about the saying "Tunajifunza kutokana na makosa"???
 
QM,

For the statement highlighted in red, na issue whatever happen has a reason bado unakubalika hapa, Guess what, Utakuwa umeikosa hiyo kazi uliyokuwa ukiifukuzia (Thats what happen 'kuikosa") kwa sababu hukuqualify kwa hiyo kazi (This is a reason 'qualification'). On the other hand, yule jamaa atayekuwa ameipata hiyo kazi (What happen to him/her 'kapata kazi'), ni kwa sababu amequalify kwa nafasi hii (This is the reason 'qualification')

Lizy,
I couldn't agree with you more. Lakini wengi hutumia huu msemo as a comfort kwamba pengine kazi mzuri zaidi inawasubiri huko mbeleni. Sidhani kama wengi huona analysis uliyoiweka wewe.

By the way, what about the saying "Tunajifunza kutokana na makosa"???

Msemo huu ninakubaliana nao kwa 99% (always leave out 1%). When you fall down; you get up, clean yourself, and keep moving....only this time you move with cautious not to fall again...huko ndiko kujifunza.
 
Lizy,
I couldn't agree with you more. Lakini wengi hutumia huu msemo as a comfort kwamba pengine kazi mzuri zaidi inawasubiri huko mbeleni. Sidhani kama wengi huona analysis uliyoiweka wewe.

Hivi, how do you justify your reasons(na kukubali analysis yako kuwa ndio inaleta sense) and someone else's justification of their reasoning? In this matter, I am referring the the very example of being passed on a job offer, what it pertains to and what not?

Ni kwamba wewe uko right nao wako wrong?
 
Hivi, how do you justify your reasons(na kukubali analysis yako kuwa ndio inaleta sense) and someone else's justification of their reasoning? In this matter, I am referring the the very example of being passed on a job offer, what it pertains to and what not?

Wewe uko right nao wako wrong?

Hivi kwani umekula maharage yenye pilipili sana nini leo? Mbona mkali hivyo?...lol

Mimi nina generalize kutokana na nionavyo jinsi wengi hutumia huo msemo. Sina maana ya kwamba nionavyo mimi ndivyo sahihi. Kama ukirudi nyuma kidogo kwenye post zangu, utaona kuna mahali niliweka "maoni yangu" kwenye mabano.
 
I think the statement 'everything happens for a reason' is very valid but should not be taken as a comfort, rather as a lesson to be learnt.
Seriously. Get something out of every good or bad thing, happening to you or to anyone else.

i also hate statementsof our politicians or intelectuals when they always dont forget to add 'tukawaelimishe wananchi' as if they are not among the wananchi.
or 'mwananchi wa kawaida haelewi'
as if they are constantly out of the bracket.
I am alnost sure that a lot of things will change if ppl in decissionmaking posItions will include themselves in the brackets they are WORKING ON.
I would trust much more a politician or public servant talking like this. 'We need to learn more about computers, all of us would benefit from computer colleges so we should work on encouraging them being started in all places in tanzania, rural and urban equally'
not 'inabidi wanachi waelimishwe.'
 
Kuna msemo ninaouchukia sana,
vijana wakihojiwa tu, wanasema unajua wenzetu wakenya wanauwezo zaidi.
sisi shule zetu hazijatuwezesha kujieleza.
kuna namna fulani watu wanajisikia wanyonge, wakati kiuwezo wanao kabisa positive mentality tutaitoa vipi?
hii ndio inatumaliza kabisa kwa mtazamo wangu.
je kama wewe huwezi kitu, je hujamuona mtanzania mwenzio anaeweza ukamsifia???
lazima umsifie mtu wa nje?
je tunachukiana kiasi hicho?
Manake ukiangalia watu wa nje wanaapreciate sana kazi za watanzania.
tungaingiza vipi mentality ya mtanzania (hasa kijana) kumpenda na kuapreciate kazi ya mtanzania mwenzake?



  • "Mimi kama mimi..."

  • "Sisi waAfrica..."
"Africa is not one country, neither is it riddled with 900 million starving, AIDS ridden malnourished helpless souls."

"There is a number of countries in Africa whose economies are growing at rates comparable with those in Asia."

"Africa has a very diverse pattern of governance, democracy versus non-democratic rule, peace and war."

"No other geographical region is burdened by similarly sweeping generalizations."
There is an acceptable use however of the phrase "sisi waafrica". In most cases I will choose not to use that phrase.


Haika, unaposema kazi ya mtanzania, ningekuhitaji ukokotoe zaidi. Kuna kazi/bidhaa za watu wa Asia zilizo ovyo kabisa.
Sitazifagilia bidhaa za watanzania zilizo ovyo na zisizokuwa na mlingano mzuri wa bei/(production cost) versus ubora.

Nimeona tangazo la sabasaba la kampuni inayotengeneza frame za madirisha ya plastic (mbadala wa aluminum frames). Maelezo ya huyo bwana yalinipa ushawishi, wameonyesha umakini kwenye kazi yao.



.
 
nachukia sana watu wa nchi za nje wanaposema 'nakwenda Afrika'
'nilisaidia afrika'

what is Africa?
wanafanya kama ni wilaya moja.

Au wamarekani wanaposema 'this is is world news' an 'so and so is a world aclaimed politician' wakati mtu mwenyewe hata ramani ya Afrika haijui.
' It is known all over the world" wakimaanisha kwamba kuna nchi moja ya afrika wana habari hiyo.
Wananikera yani wacha tu.
 
Back
Top Bottom