Edson
JF-Expert Member
- Mar 7, 2009
- 9,846
- 5,076
Fidel80 hapa tunasema haki itendeke juu ya sheria
kuna mda akili zako huwa zinakuruka....na kwa kuwa mwezi umeshaandama ndo kabisaa... maana uko ON na OFF
Fidel80 hapa tunasema haki itendeke juu ya sheria
Yaani wewe kama ningekujua kwa uso tu! ningehakikisha nakuvizia usiku na mchana....hapa hakuna ushabiki leta ushahidi maana huyu jamaa kawachafua watu
inabidi aswekwe mahakamani
Naona kavamia kazi ya Dr.Slaa kulipua mabomu.
Anataka wenye hiyo professional wakose cha kusema?
Chunga sana Msemakweli, kazi zina wenyewe hizo, waone kwanza kabla ya kusema.
We komaa tu na mafisadi wa elimu, hayo mengine yana wenyewe.
Ni vizuri kukamatwa na kufungwa yeye maana ushahidi hana anakurupuka na kuchezea dola
which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
Amekubali kutumika Bila mipango kwa wanasiasa wenye kurushiana makombora katika Kambi mbili za GAMBA...Si mwanaharakati I HATE HIM
wadau habari nilizozipata sasa ni kuwa mwanaharakati kainerugaba msemakweli bado yuko polisi kituo cha oysterbay na anasubiri kuandika maelezo (2:12 pm) hata hivyo the guy looks so healthy and confident. nitafanya nae mahojiano saa 10 na nitawajulisha kipi amehojiwa na kipi ameandika kwenye maelezo huko polisi.
Fidel80 hapa tunasema haki itendeke juu ya sheria
Taarifa zilizotufikia wakati huu ni kuwa yule jamaa 'aliyewalipua' Rostam, Manji na wenzao jana; kakamatwa na Polisi toka ofisi ya DCI (Manumba) na anaendelea kuhojiwa.
Taarifa zinadai kuwa Msemakweli alielekea kwa DPP kama alivyoahidi hiyo jana kuwa angeenda kwake na kuambiwa kuwa appointment yake imesogezwa mpaka Jumatatu lakini akiwa njiani kurudi akakamatwa na maofisa wa polisi ambao mpaka sasa wanaendelea kumhoji.
Hatujapata taarifa za nini amehojiwa na nani kamhoji. Tutaendelea kufahamishana kadiri muda utakavyoruhusu.
Huu ni mwanzo tu, kuna mengine yatajiri muda si mrefu!
KUMBUKA KAULI YAKE:
UPDATES:
Maelezo mapya:
Msemakweli alikamatiwa ofisini kwa DPP. DCI Manumba alienda kwa DPP asubuhi akiwa na timu yake kisha Msemakweli alipofika na kuambiwa arudi Jumatatu akawakuta nje ya ofisi wakiwa wanamsubiria, akachukuliwa na kwenda naye Ofisi za Wizara ya Mambo ya Ndani kwa DCI kabla ya kumchukua kwenda naye Mikocheni zilipokuwa ofisi za tume ya EPA.
Update 1:
Update 2:
Msemakweli yupo huru kuongea na simu lakini si kama kaachiwa, mida hii (02:00PM) anaelekea kuandika maelezo.
Update 3:
which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
Ameyataka mwenyewe, KUKURUPUKA NI KUBAYA!
Anakamatwa mlalamikaji watuhumiwa wanapeta nchi hii inatia kinyaaa
Sidhani kama jamaa amekurupuka, kama ana ushahidi TOSHA na kafanya utafiti wake wa kutosha huko si kukurupuka. Ngoja tuone yakifika mahakamani ila kila kitu kiwe hadharani. Jamaa ni SHUJAA fupa la Kagoda limewashinda wengi sana.
Bora yeye Amesema ILI haki isije kumhukumu kama akiamua kufa nalo ndani ya moyo wake.
Huo ushahidi uko wapi? anajitafutia umaarufu tuu huyo. Hujui NGO zinavyopata pesa? waulize haki elimu.