Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
alikuwa anachezea na dola sasa dawa yake kaipata
waghambie mtumba
alikuwa anachezea na dola sasa dawa yake kaipata
Hivi mnaposhabikia na kuwakingia kifua majangili mnapata nini?which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
Hivi ccm wanasaidia ukoo wako wote kwa utetezi wako dhidi yao hata kwenye mambo ambayo yapo wazi kama haya? Au unafaidika peke yako huku ndugu zako tukipata tabu nao huku mtaani?!Afadhali aishie segerea tu!
Mtu mmoja hawezi kuivuruga nchi.
Yeyote anayetetea maslahi ya taifa/wananchi ni mbaya!!!
Nchi hii bwana!
The sorrows may last for a night but His joy comes in the morning
Tutakapo anzia mapambano Mbeya ya kuung'oa uongozi dhalimu wa kifisadi wa CCM usije ukakimbia
Tumewachoka
Nyie mnashiba sie miayo.
Mpwa acha acha kabisa kutaja mambo ya ualimu, unanikumbusha kidonda mkuu, ilibidi niache ualimu kwa machozi; nawasikitikia wale wanafunzi na ilibidi niwaeleze ukweli kuwa naacha kazi ya ualimu kwa sababu hizi za kunyanyaswa na wao wakakubali na wakaniahidi kuwa mawazo niliyoyapanda na fikra pevu nilizozipandikiza ndani yao watazitumia sahihi kwa wakati sahihi; Kusema ukweli japokuwa nilikuwa nawafundisha lakini nilitumia free periods kuwajenga kisiasa na kuwaeleza adui yao mkubwa ni nani na kwanini wao shule nzima haina madwati, vitabu wala maabara huku walimu tukiishi kwenye banda moja; Na mimi nataka siku moja niitishe vyombo vya habari nijinyoge mbele yao labda hawa mafisadi wataelewa.
kama great thinker sio kuwaza kutukananasubiri kibali toka kwa Mods nitukane kidogo maana mchana huu hata chakula hakitapita jamani
Jamani muwe mnauachia ubongo wenu ufanye kazi yake....UMENISIKITISHA MNO!which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
Police wa wapi unaowazungumzia mkuu?kama ni wa hapa kwetu ilo sahau.Tusilaumu sana bila kujua dhumuni la kushikiliwa kwake na polisi.
Inawezekana ni kwa usalama wake pia!Labda kuna taarifa mbazo TISS wamezipata zinazotishia usalama wake.Katika mazingira hayo lazima polisi imlinde hata kwa namna ambayo itaonekana ni kumkamata, kutokana na unyeti wa ushahidi alionao.
Tuwe na subira mara nyingine.
Tusilaumu sana bila kujua dhumuni la kushikiliwa kwake na polisi.Inawezekana ni kwa usalama wake pia!Labda kuna taarifa mbazo TISS wamezipata zinazotishia usalama wake.Katika mazingira hayo lazima polisi imlinde hata kwa namna ambayo itaonekana ni kumkamata, kutokana na unyeti wa ushahidi alionao.Tuwe na subira mara nyingine.
mkuu unanikumbusha mwaka fulani pale Dr. Salmin Amour alivyopiga marufuku gazeti la Majira Zanzibar alafu akaambiwa watu wanasoma kupitia internet na ndipo aling'aka ..."na hiyo internet tutaipiga marufuku"!Tusilaumu sana bila kujua dhumuni la kushikiliwa kwake na polisi.Inawezekana ni kwa usalama wake pia!Labda kuna taarifa mbazo TISS wamezipata zinazotishia usalama wake.Katika mazingira hayo lazima polisi imlinde hata kwa namna ambayo itaonekana ni kumkamata, kutokana na unyeti wa ushahidi alionao.Tuwe na subira mara nyingine.
wamemnyang'nya ule ushahidi alokuwa nao...............asihofu kila ktu tunacho huku maana nilisave ile doc yote........
which style are you taking about?
Huyu msemakweli kakiuka sheria za nchi maana katuhumu huku hana ushahidi
MSEMAKWELI ana hulka za kupenda misifa....hizo ndo gharama zake. Hata mashabiki zake hapa JF wamejitenga naye....wanamwonea huruma kisanii kupitia keyboard.
mtapiga miayo mpaka meno yatachomoka