sangujoseph
Senior Member
- Nov 30, 2015
- 164
- 183
Spika Mstaafu Pius Msekwa akizungumzia juu ya kinachoendelea ndani ya Bunge kuhusu kuvuliwa Ubunge, kwa Wabunge 4 Chadema david silinde , Joseph Selasini, Wilfred Lwakatare, na Anthony Komu.
.
Mzee Msekwa amesema Spika Ndugai yuko Sawa kwenye uamuzi wake wa kukataa maamuzi ya CHADEMA.
Msikilize
Sent using Jamii Forums mobile app
.
Mzee Msekwa amesema Spika Ndugai yuko Sawa kwenye uamuzi wake wa kukataa maamuzi ya CHADEMA.
Msikilize
Sent using Jamii Forums mobile app