johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,850
- 141,769
Spika mstaafu mzee Msekwa anasema wale wabunge 19 walioko bungeni yaani Halima Mdee na wenzake siyo halali waliingia bungeni kinyume cha katiba kwani siyo wanachama wa Chadema.
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
Halima James Mdee anasema wao ni wabunge halali wa Chadema kwani wako bungeni kwa baraka za chama chao.
Hili swala unaweza kuliona dogo lakini ni kubwa sana.
Huyu Msekwa ndiye aliyetengeneza katiba ya JMT ya 1977 inayotumika sasa hivyo kauli yake siyo ya kupuuzwa kabisa.
Lakini Halima James Mdee alikuwa mwenyekiti wa Bawacha taifa chombo kinachoratibu majina ya wagombea ubunge wa viti maalumu Chadema, kwahiyo kauli yake ina uzito pia.
Ikumbukwe Halima James Mdee hii siyo mara ya kwanza kuwa mbunge wa viti maalumu alishakuwa mwaka 2005.
Swali la msingi ni kwanini Chadema hawaitishi kikao cha baraza kuu/ mkutano mkuu kusikiliza rufani za covid 19?
Kwanini Chadema hawaendi mahakamani kama alivyoshauri Spika mstaafu anayeheshimika sana mzee Pius Msekwa?
Maendeleo hayana vyama.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Pia soma
- Halima Mdee: Sisi ni wawakilishi wa chama na hatukuja Bungeni kwa bahati. Nafasi zetu za Ubunge hazipo hatarini hata kiduchu ( 01/02/2022)
- Mzee Msekwa: Wabunge 19 hawana uhalali kuwepo Bungeni, anayebisha aende mahakamani (08/01/2022)
- Pius Msekwa: Mbunge akifukuzwa uanachama na chama chake hawezi kuwa mbunge kwa namna yoyote ile (01/11/2021)
- Pius Msekwa: Kwa mujibu wa Katiba, mpaka sasa Halima Mdee na wenzake hawana sifa za kuwa Wabunge ( 28/11/2020 )
- Spika Mstaafu Msekwa awapongeza CHADEMA kwa kuwafukuza uanachama wabunge waliokwenda kinyume na taratibu zao ( 18/05/2020)