Uchaguzi 2020 Msajili wa Vyama ameionya CHADEMA kwa kuongeza ubeti wa 3 katika Wimbo wa Taifa jana katika Mkutano wa Baraza Kuu

Ayaaaaa!!!! Hii video umewavunga nguo hadharani
Kuvaa nguo za chama na kufanya makosa hakumaanishi chama kimekosa. Lakini Chama kikiwa kwenye vikao vyake halali, huku uongozi mzima wa kichama tena kitaifa kudiriki kuvunja sheria hakiwezi kujivua 'dhambi' hii. Chadema jana walikuwa kwenye vikao halali na wamefanya kosa hilo, hivyo kama wanajielewa wawaombe radhi watanzania mara moja.

Mtanzania anayejitambua hawezi kuchezea wimbo wa Taifa.
 
Ayaaaaa!!!! Hii video umewavunga nguo hadharani
Apo kuna tofauti kubwa sana... Chadema acheni kuvunja sheria, again nyie mnapenda kujilinganisha na CCM babalao eeh usitake kumuiga tembo, kinachofuata naamini hutoleta mrejesho .
 
Walichofanya CDM ni hiki hapa, kuanzia dakika ya 3:50.

..Wameimba wimbo wa taifa wote kama ulivyo kwa heshima zote.

..walipomaliza wameimba beti mwingine unaohusu chama chao na viongozi wao.

..personally, sioni kama wimbo wa taifa ulinajisiwa.

 
Msajili atulie siasa zifanywe mbona ccm wanavunja sheria nyingi tu lakini hatusikii hata siku moja akionya ccm?
Sisi wananchi tunawaona tuu wanayofanya CDM. Wabishane kwa hoja na sio kubadili mambo yetu ya kitaifa.
 
Walichofanya CDM ni hiki hapa, kuanzia dakika ya 3:50.

..Wameimba wimbo wa taifa wote kama ulivyo kwa heshima zote.

..walipomaliza wameimba beti mwingine unaohusu chama chao na viongozi wao.

..personally, sioni kama wimbo wa taifa ulinajisiwa.


Nadhani kama ni deko limezidi.
 
Kama umeongezwa ubeti siyo wimbo wa Taifa tena uitwe ni wimbo wa CHADEMA, kwa kuwa CHADEMA wamekopi na kupesti kutoka kwenye wimbo wa Taifa kama wao wenyewe walivyokopi na kupesti kutoka kwenye chama cha afrika ya kusini.
 
..tatizo ni ccm kujiona wao ni wazazi na vyama mbadala ni watoto wao.

..matokeo yake ccm wanataka kuvi-control hivi vyama na kuvipangia nini cha kusema.
Ndugu! tofautisha marumbano ya vyama na utii kwa taifa. Kama wanachezea wimbo wa taifa ambao ni utambulisho wetu sote wakidhani wanashindana na ccm, wanakosea. Hii ni maudhi ya watanzania bila kujali itikadi za kisiasa.
 
Km wameongeza ubeti maana yake sio wimbo wa taifa sasa msajili anawashwa na nn mpaka kufuatilia mambo ya hovyo hayo badala ya kuifuatilia ccm chama cha kishetani kinafanya mambo ya hovyo wakivumja katiba na sheria za nchi......
 
Ndugu! tofautisha marumbano ya vyama na utii kwa taifa. Kama wanachezea wimbo wa taifa ambao ni utambulisho wetu sote wakidhani wanashindana na ccm, wanakosea. Hii ni maudhi ya watanzania bila kujali itikadi za kisiasa.
hii nayo e si unajisi.. utajifanya huoni
 
Km wameongeza ubeti maana yake sio wimbo wa taifa sasa msajili anawashwa na nn mpaka kufuatilia mambo ya hovyo hayo badala ya kuifuatilia ccm chama cha kishetani kinafanya mambo ya hovyo wakivumja katiba na sheria za nchi......
 
Back
Top Bottom