Msajili wa Vyama vya siasa akutana na Viongozi wa CHADEMA

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,716
218,263
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Francis Mutungi, ambaye ni Msajili wa Vyama vya Siasa, leo amebahatika kukutana na viongozi wa CHADEMA. Ikiwa ni masaa machache kabla ya Chama hicho kuvurumisha Oparesheni 255 Kanda ya Serengeti.

Bado haijafahamika yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho.

Screenshot_2023-08-24-19-00-29-1.jpg
Screenshot_2023-08-24-19-00-20-1.jpg


Mungu Ibariki CHADEMA
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Francis Mutungi , ambaye ni Msajili wa Vyama vya Siasa , leo amebahatika kukutana na viongozi wa Chadema , Ikiwa ni masaa machache kabla ya Chama hicho kuvurumisha Oparesheni 255 Kanda ya Serengeti .

Bado haijafahamika yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho .

View attachment 2727537View attachment 2727538

Mungu Ibariki Chadema
Lissu alikuwa wapi!!?
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Francis Mutungi , ambaye ni Msajili wa Vyama vya Siasa , leo amebahatika kukutana na viongozi wa Chadema , Ikiwa ni masaa machache kabla ya Chama hicho kuvurumisha Oparesheni 255 Kanda ya Serengeti .

Bado haijafahamika yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho .

View attachment 2727537View attachment 2727538

Mungu Ibariki Chadema
Hakika amebahatika sana.
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Francis Mutungi, ambaye ni Msajili wa Vyama vya Siasa , leo amebahatika kukutana na viongozi wa Chadema. Ikiwa ni masaa machache kabla ya Chama hicho kuvurumisha Oparesheni 255 Kanda ya Serengeti .

Bado haijafahamika yaliyojadiliwa kwenye kikao hicho .

View attachment 2727537View attachment 2727538

Mungu Ibariki Chadema
Mimi naomba tu kujua imekuwakuwaje na yeye mkamvalisha gwanda?

Lilikuwa ni sharti lenu mlilomuwekea kabla ya kuja kukutana na viongozi wenu?

Lakini hayo ya magwanda tuyaachie hapo tujadili yaliyo ya muhimu.

Muhimu ni kuwa; kama mtashindwa kumweleza kinagaubaga adhma mliyo nayo ya kuwakomboa waTanzania toka chini ya utumwa wa CCM, hapo mtakuwa mmeshindwa kutimiza wajibu wenu.

Wakati ndio huu, wa kutochekeana tena na nyani kama hawa.

Kunradhi sana kwa lugha hii ngumu, lakini hakuna namna tena.
 
6. 𝗠𝘀𝗶𝗺𝗮𝗺𝗼
Msimamo wetu ni kwamba maandamano ya nchi nzima yako palepale. Kitu pekee kitakachositisha maandamano haya ni serikali kusitisha mkataba huu mbovu wa bandari kati ya nchi yetu na DP World ya Dubai. Kwenye hili sisi tuko tayari kunyongwa, kwanza kunyongwa kwa ajili ya kupigania rasilimali za nchi hii ni fursa tunayoitaka hata kesho. Hatumuogopi yoyote isipokuwa Mungu muumbaji wa mbinguni.

Mdude Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.
 
Mimi naomba tu kujua imekuwakuwaje na yeye mkamvalisha gwanda?

Lilikuwa ni sharti lenu mlilomuwekea kabla ya kuja kukutana na viongozi wenu?

Lakini hayo ya magwanda tuyaachie hapo tujadili yaliyo ya muhimu.

Muhimu ni kuwa; kama mtashindwa kumweleza kinagaubaga adhma mliyo nayo ya kuwakomboa waTanzania toka chini ya utumwa wa CCM, hapo mtakuwa mmeshindwa kutimiza wajibu wenu.

Wakati ndio huu, wa kutochekeana tena na nyani kama hawa.

Kunradhi sana kwa lugha hii ngumu, lakini hakuna namna tena.
 
Back
Top Bottom