Uzuri ushabiki wa vijana wa kibongo upo nyuma ya Keyboard. Kwa kuandika kwenye media wako vizuri sana.Washabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Uzuri ushabiki wa vijana wa kibongo upo nyuma ya Keyboard. Kwa kuandika kwenye media wako vizuri sana.Washabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Sisi tutanza na ww kwanza halafu mengine yatafuata fanyeni usenge wenu muibe kuraWashabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Ni kweli safari hii hakuna cha kugeuza shavu, jino kwa jino, tako kwa tako.💪💪💪Round hii Upinzani wamesimamisha mtu kweli..
Habari za namuachia Mungu wakati Mungu nae anategemea ujasiri wako round hii HAKUNA.
hivi ni episode namba ngapi vile? ngoja tuitafutie nafasi yake hapa chini...Sioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Wewe si unaangalia washkaji zako unadhani Watanzania wote wako hivyo, kuna watu hawana cha kupotezaSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Washabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Yeye kushinda urais ni ndoto.kama Ana jeshi lake aliweke tu tayari waanze kupasha Moto bunduki
Kojoa ulaleSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Kama ww huwezi sema siwziSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Subirini muda ufikeWashabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Anajistukia wanajua ubaya watakaofanya hivyo wanajihamiAlichotakiwa kufanya Msajili ni kumhakikishia Lisu kwamba yeye Msajili wa vyama atawasiliana na Tume ya Uchaguzi avihakikishie vyama na ofisi yake kwamba Uchaguzi utakua huru na wa haki.
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.
Hakuna kucheka na nyani safari hii tukavuna mabua.
Yaani JF raha sana . . . jamaa kakuta liear algebra sasa anatafuta pa kutokea ahahaha. Umenikumbusha mbali sana mkuu. Msalimie KakikoHuyo anayesema wasipomchagua hatawaletea maendeleo wamemfanyaje?
Mzee alijiandaa kwa paper ya geometry akakuta paper yote ni Algebra, halafu waliokuzunguka wanafanya masomo mengine, wa mbele anafanya kiswahili, kulia historia, kushoto geografía, nyuma civics, msimamizi bubu, anatumia ishara tu. Utaishia kuandika jina na kukusanya au ujituingie swali la geometry na kujibu maana hakuna namna, utapigwa tu!!!!. Hivi mzee Pinda yuko wapi bajameni!!!
Ajieleze ? Ajieleze nini ? Kuna la kujieleza hapo ? Kama ukiniibia kura na nikawa na ushahidi unategemea nikubali kijinga jinga tu ?Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani
Nothing less nothing more...aione mkurugenzi mkuu tume ya taifa ya kudhibiti upinzaniMsajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.