Uchaguzi ndani ya Chama: CHADEMA walimwa barua na Msajili wa Vyama vya Siasa. Watakiwa kufuata sheria za nchi

MsemajiUkweli

JF-Expert Member
Jul 5, 2012
13,171
23,976
Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia Chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kijieleze haraka kwa nini kisichukuliwe hatua kali kutokana na kukiuka Katiba ya CHADEMA.

Msajili amefikia hatua hiyo baada ya viongozi Wakuu wa CHADEMA kuendelea kuwa viongozi wakati uongozi wao ulitakiwa ukome tarehe 14 Septemba 2019 kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Ibara ya 6.6.3 inayochagizwa na Ibara ya 6.3.2(a) inayosema kila kiongozi wa CHADEMA atakaa madarakani kwa muda wa miaka 5.

Msajili amekitaka CHADEMA kitoe sababu zenye mashiko kwa nini kisichukulie hatua kali kwa mujibu wa kifungu cha 4(5) cha Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258.

Ninaambatanisha barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.

Zaidi,soma;


EF4smf_XkAMVF9S

EF4smhdXUAAebzL
 
Naona drama la kutaka kufuta CDM limeanza upya...
Unganisha dots ya majibu ya Kange na mwand iko wa msajili kuhusu zuio kwa vyama vya siasa kufanya siasa...
BTW atakuwa kidume akiweza kuifuta Chadema ....na pengine ukawa ndio mwisho wa CCM..

----
Fact is wanapenda CDM hawawezi pigia kura CCM....
Labda mfute na chaguzi zote kabisa..turudi kwenye alf Lela ulela ya Bwana Zidumu fikra
 
Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia Chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kijieleze haraka kwa nini kisichukuliwe hatua kali kutokana na kukiuka Katiba ya CHADEMA.

Msajili amefikia hatua hiyo baada ya viongozi Wakuu wa CHADEMA kuendelea kuwa viongozi wakati uongozi wao ulitakiwa ukome tarehe 14 Septemba 2019 kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Ibara ya 6.6.3 inayochagizwa na Ibara ya 6.3.2(a) inayosema kila kiongozi wa CHADEMA atakaa madarakani kwa muda wa miaka 5.

Msajili amekitaka CHADEMA kitoe sababu zenye mashiko kwa nini kisichukulie hatua kali kwa mujibu wa kifungu cha 4(5) cha Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258.

Ninaambatanisha barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
EF4smf_XkAMVF9S

EF4smhdXUAAebzL
Chadema ni chama cha kifalme kama ilivyo TLP ya Mrema na Nccr ya Mbatia chini ya mwenyekiti wa machifu wote Tanzania!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia Chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kijieleze haraka kwa nini kisichukuliwe hatua kali kutokana na kukiuka Katiba ya CHADEMA.

Msajili amefikia hatua hiyo baada ya viongozi Wakuu wa CHADEMA kuendelea kuwa viongozi wakati uongozi wao ulitakiwa ukome tarehe 14 Septemba 2019 kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Ibara ya 6.6.3 inayochagizwa na Ibara ya 6.3.2(a) inayosema kila kiongozi wa CHADEMA atakaa madarakani kwa muda wa miaka 5.

Msajili amekitaka CHADEMA kitoe sababu zenye mashiko kwa nini kisichukulie hatua kali kwa mujibu wa kifungu cha 4(5) cha Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258.

Ninaambatanisha barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
EF4smf_XkAMVF9S

EF4smhdXUAAebzL
Msajili kazi yako ingekuwa kila jambo unalifuatilia hivyo nchi ingesonga mbele. Aanze kusimamia kurejea KWA haki, Uhuru wa vyama kufanya siasa ndipo ataeleweka na kukubalika
 
Mbowe aitishe uchaguzi haraka aache kuatamia hicho chama kwani sio mali yake. Akigoma ni marufuku Chadema kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa na ule mkuu wa October 2020.
Huo uchaguzi utafanyikia wapi kama kila kukicha vikao vya kupanga na kuratibu vinazuiliwa na jeshi la polisi kwa kauli za wakuu wa wilaya na mikoa.
Wakati huohuo msajili yupo ofisini na taratibu zinakiukwa kila siku wala hatoi neno lolote
 
Naona drama la kutaka kufuta CDM limeanza upya...
Unganisha dots ya majibu ya Kange na mwand iko wa msajili kuhusu zuio kwa vyama vya siasa kufanya siasa...
BTW atakuwa kidume akiweza kuifuta Chadema ....na pengine ukawa ndio mwisho wa CCM...
Acha ujinga
Mnamtafuta mchawi zaidi ya Upofu wenu
Mnamuacha mtu afanye atakavyo kwenyechama
Chama ni cha wanachama na sio cha mwanachama
Kama una hitaji Demokrasia
Anza na Chama chako

Chama kimewashinda nchi mtaiweza!!
 
Msajili wa Vyama vya Siasa amekiandikia Chama cha CHADEMA barua ya kukitaka kijieleze haraka kwa nini kisichukuliwe hatua kali kutokana na kukiuka Katiba ya CHADEMA.

Msajili amefikia hatua hiyo baada ya viongozi Wakuu wa CHADEMA kuendelea kuwa viongozi wakati uongozi wao ulitakiwa ukome tarehe 14 Septemba 2019 kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA Ibara ya 6.6.3 inayochagizwa na Ibara ya 6.3.2(a) inayosema kila kiongozi wa CHADEMA atakaa madarakani kwa muda wa miaka 5.

Msajili amekitaka CHADEMA kitoe sababu zenye mashiko kwa nini kisichukulie hatua kali kwa mujibu wa kifungu cha 4(5) cha Sheria ya Vyama vya Siasa Sura ya 258.

Ninaambatanisha barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini.
EF4smf_XkAMVF9S

EF4smhdXUAAebzL
Huyo ni mwenyekiti wa maisha kama alivyokuwa Mfalme Bokassa
 
Huo uchaguzi utafanyikia wapi kama kila kukicha vikao vya kupanga na kuratibu vinazuiliwa na jeshi la polisi kwa kauli za wakuu wa wilaya na mikoa.
Wakati huohuo msajili yupo ofisini na taratibu zinakiukwa kila siku wala hatoi neno lolote
Ndio mlijualo Vibendera
Kama mmerongwa
Mnaongozwa na Malaika AkA mungu mtu Mbowe
Hapingwi
Na mtaitwa upinzani mpaka Yesu Arudi
 
Kuna vichekesho kwenye taarifa hii. wakati serikali ikipiga marufuku vikao hasa kwa vyama vya upinzani msajili alikuwepo na alisikia kila kitu kama alivyosema huyo huyo waziri wa mambo ya ndani.


Katika majibu naomba CHADEMA waambatanishe ile clip ya Kangi Lugola akizuia mikutano then wamwombe msajili naye atoe majibu ni lini tamko la Kangi lilibatilishwa.

Tumeshuhudia mara nyingi viongozi wakiwekwa vizuizini kwa sababu tu ya kuendesha vikao vya ndani.

Msajili anamatatizo.
 
Back
Top Bottom