Msajili wa vyama aitaka CHADEMA ijieleze kwanini wanasema wasipochaguliwa wataingia barabarani, Lissu ajibu

Yeye kushinda urais ni ndoto.kama Ana jeshi lake aliweke tu tayari waanze kupasha Moto bunduki
 
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.

Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.

Msajili anampa promo ya bure Lisu!
 
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.

Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.


Huyo msajili angeanzana kumwandikia bosi wake atoe maelezo ni kwa nini anatoa rushwa kwenye kampeni zake, pia ajieleze ni kwa nini anawachagulia wananchi watu wa kupigiwakura, na pia vitishi kuwa wasipoichagua ccm watajuta.
 
Back
Top Bottom