Sijijui
JF-Expert Member
- Jan 14, 2018
- 7,879
- 8,800
Kama ni hivyo,wasiwasi wa msajiri na ccm unatoka wapi?Sioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Kama ni hivyo,wasiwasi wa msajiri na ccm unatoka wapi?Sioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Mkuu mbona tayari watu wameshaanza kujitoa mganga/ kafara. We unafikiri yule mwenyekiti wa uvccm iringa kukatwa mapanga so kujitoa mganga huko! Slowly watu wako aggressive. Inaanzaga hivihiviSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Yupo mumeoSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Nothing more nothing less hahahaRound hii Upinzani wamesimamisha mtu kweli..
Habari za namuachia Mungu wakati Mungu nae anategemea ujasiri wako round hii HAKUNA.
😀😀😀😀😀We nae chenga tu..
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.
Anataka aonekane na mkuu.Msajili anampa promo ya bure Lisu!
Sioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
wewe endelea kujilia elfu saba saba zako mkuuSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Usiseme hivyo! Kuharibika Mambo Ni sekunde tu... Tusitegemee Sana polisi. Kuna siku watajiweka pembenWashabiki wa Lissu humu ni maneno tu,nani akajitoe kafara saccos?
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.
We shall seeeeeeSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo
Apigweeeeeeeeeeeeeeee!Magufuli apigweeeeeeeeeee
Subiri siku zitakuunga mkono au zitakunaSioni wakujitoa kafara kwa Lissu ,hayupo