Msajili wa vyama aitaka CHADEMA ijieleze kwanini wanasema wasipochaguliwa wataingia barabarani, Lissu ajibu

Quinine

JF-Expert Member
Jul 26, 2010
21,272
47,268
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.

Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.
 
Huyo anayesema wasipomchagua hatawaletea maendeleo wamemfanyaje?
Mzee alijiandaa kwa paper ya geometry akakuta paper yote ni Algebra, halafu waliokuzunguka wanafanya masomo mengine, wa mbele anafanya kiswahili, kulia historia, kushoto geografía, nyuma civics, msimamizi bubu, anatumia ishara tu. Utaishia kuandika jina na kukusanya au ujituingie swali la geometry na kujibu maana hakuna namna, utapigwa tu!!!!. Hivi mzee Pinda yuko wapi bajameni!!!
 
Huyo anayesema wasipomchagua hatawaletea maendeleo wamemfanyaje?
Mzee alijiandaa kwa paper ya geometry akakuta paper yote ni Algebra, halafu waliokuzunguka wanafanya masomo mengine, wa mbele anafanya kiswahili, kulia historia, kushoto geografía, nyuma civics, msimamizi bubu, anatumia ishara tu. Utaishia kuandika jina na kukusanya au ujituingie swali la geometry na kujibu maana hakuna namna, utapigwa tu!!!!. Hivi mzee Pinda yuko wapi bajameni!!!
Msajili anataka tu aonekane na yeye yupo. Hajasikika muda mrefu, ni hilo tu.
 
Huyo anayesema wasipomchagua hatawaletea maendeleo wamemfanyaje?
Mzee alijiandaa kwa paper ya geometry akakuta paper yote ni Algebra, halafu waliokuzunguka wanafanya masomo mengine, wa mbele anafanya kiswahili, kulia historia, kushoto geografía, nyuma civics, msimamizi bubu, anatumia ishara tu. Utaishia kuandika jina na kukusanya au ujituingie swali la geometry na kujibu maana hakuna namna, utapigwa tu!!!!. Hivi mzee Pinda yuko wapi bajameni!!!
Magufuli apigweeeeeeeeeee
 
Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.

Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.

Alichotakiwa kufanya Msajili ni kumhakikishia Lisu kwamba yeye Msajili wa vyama atawasiliana na Tume ya Uchaguzi avihakikishie vyama na ofisi yake kwamba Uchaguzi utakua huru na wa haki.
 
29 Reactions
Reply
Back
Top Bottom