Msajili wa vyama vya siasa amekiandikia barua Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kijieleze kwanini mgombea wao kila siku anasema safari hii hawatakubali kuibiwa kura na wakiibiwa wataingia barabarani, Msajili anasema matamshi hayo ni kutishia amani.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.
Majibu ya Lissu: Ni kweli uchaguzi huu tukiibiwa tutaingia barabarani, ‘ Nothing less nothing more’.