Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Khe!! Huyo namfahamu vema bila shaka kale ka ugonjwa kake ka kuhamahama kamemrudia kwan aliwahi kuwa NCCR! Nchemba kule hatoki kwani hatujaona mabadiliko ktk majimbo ambayo cdm imeshika zaidi wabunge wake wameongoza migogoro na fujo tu!
 
Mkuu,fafanua maana kuna kitu unakificha hapo,umesema gwiji la siasa je za siasa za majitaka,siasa za kishirikina au zipi?
Nimesema siasa za Tanzania. Unataka tena nikufundishe mfumo wa siasa za Tanzania wakati hilo ni somo la darasa la nne.

Kwani uliogopa umande wa asubuhi kwenda shule wakati ukiwa mtoto?. Kama ni hivyo, basi lawama zipeleke kwa wazazi wako.

Hili jukwaa siyo la kujifunza somo la uraia la dalasa la nne. We're dealing in here only with hard stuff.
 
Halafu ndiyo wanaanza kulia lia eti CHADEMA tuna 'kirusi', mara CCM wanatuhujumu.

Yaani mtu anasafilishwa kutoka Iramba kuja kupewa kadi ya uanachama ofisi kuu na katibu mkuu wa chama na hapo hapo wanaalika waandishi wa habari na pia wataalam wa photoshoot kwa ajiri ya newspapers front page. Kisa, eti kwa sababu ni mfanyakazi wa Mwigulu Nchemba.

Haya ni matatizo ya katibu mkuu wa chadema kukosa kazi ya maana kufanya na pia ni kupoteza muda wa waandishi wa habari.
Hapo jamaa alikuwa mpiga kiwi wamehangaika hivi,
Je angekuwa house boy wake ingekuwaje?
 
Mimi ninauheshimu sana mchango wako katika medani ya elimu nchini lakini ninapatwa na wasiwasi na namba ya gia ya kisiasa unayotaka kuingia nayo Iramba Magharibi. Ninapatwa na wasiwasi kama utaweza kuogelea kwenye mawimbi mazito ya siasa za majitaka na propaganda kama ulivyoanza.

Kitila Mkumbo kumnunua mtu siyo lazima umpatie pesa mkononi. Hotel bure, chakula bure, usafiri bure, magwanda ya chadema bure na hata kadi nyingine ya uanachama nayo ni bure. Hivi vitu vyote vimemtongoza kisiasa na sasa yuko Dar anajirusha kwenye viwanja ambavyo hakutegemea kufika. Huku si ndiyo kumnunua kisiasa.

Ninakutakia safari njema ya kisiasa katika jimbo la Iramba Magharibi lakini kumbuka unaenda kupambana na gwiji la siasa za Tanzania ambaye jina lake ukilitaja ndani ya ofisi za CHADEMA, mtaa wa Ufipa, kuna viongozi ndani ya ofisi huwa wanapata kiwewe.
Wanapagawa kina Shonza, Mwampamba, na masalia wengine waliotimkia CCM!!!!

 
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa

Ndiyo unaonyesha namna gani mna siasa za ubaguzi wa wanyonge kwa kukumbatia mafisadi. itiMnaabudu mafisadi hadi hamwoni haya ya kusema hadharani kwamba Mtanzania wa kawaida hana thaman kwenu. .

Katika CDM everybody is somebody!. Jifunzeni na kwa jadi za Africa mwonage aibu japo kidogo kuonyesha ubaguzi wenu wa kishetani.
 
Hapo jamaa alikuwa mpiga kiwi wamehangaika hivi,
Je angekuwa house boy wake ingekuwaje?

Chris Lukosi una taarifa ya maendeleo ya kesi ya Lwakatare?mwigulu nasikia amepata ugonjwa wa kuhara na kutapika damu,ikiambatana na presha ya kupanda ya damu,na sasa amelazwa hospitali....poleni
 
Last edited by a moderator:
Cheo gani,
Cha kuongoza misukule?

Lukosi, mi niliwahi kukushangaa kuwa mtu mjinga kama wewe, uliwezaje kupenya hadi kuchukua uongozi wa tawi la Chadema huko uliko? Kweli bado ni kitendawili kikubwa juu ya swali hili. Kwa hilo nasema Mungu ni mkubwa, we hukustahili kuwa katika kundi la Chadema, wapigania haki za wanyonge wa taifa hili. Mungu amekuona na akatusaidia kukuondoa haraka Chadema ambako hukustahili kuwepo. Posti zako hapa Jf hazionyeshi kama una akili timamu, na sijui ccm nako wamekuaminije wewe kuwa mmoja wa watetezi wao hapa Jf? Pole sana kwako, ila watanzania tunaendelea kuipigania nchi yetu, hadi ukombozi wa pili utakapotimia... hatusikilizi ujinga wako hapa jf.
 
Khe!! Huyo namfahamu
vema bila shaka kale ka ugonjwa kake ka kuhamahama kamemrudia kwan
aliwahi kuwa NCCR! Nchemba kule hatoki kwani hatujaona mabadiliko ktk
majimbo ambayo cdm imeshika zaidi wabunge wake wameongoza migogoro na
fujo tu!

Acha kuongea usichokijua ww! asitoke kafanya nn cha maana zaidi ya kuwanunulia vijana miwa na viroba? Wana Iramba ndo tuna maamuz abak au asibak.
 
Pole mwigulu usipougua presha ndani ya hizi wiki 2 sijui!
Bonge la responce...Hii ilitakiwa ifanyike kwenye jimbo la Serukamba, Nkamia, Kibajaji, Ndugai, Makinda et al ... Mchuzi wa Mbwa shurt inywewe ikiwa ya moto!....
 
Back
Top Bottom