Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Shame upom him, tayari chaka la ugaidi limeungua, sasa atapita wapi, kila siku nawaeleza ccm ni genge la wauaji wahuni.
 
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu

Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
 
chadema wawe makini na hao watu maana hila sasa hivi ni kubwa mno. Kama yule aliyedai aliandamwa na Mwigulu hadi akaamua kurudi ccm alikuwa mpinzani kweli, huyu Mwigulu atamwacha? Cdm muwe makini sana na huyo. Ni maandalizi ya kuvuruga mipango ya Dk Kitila Mkumbo kugombea jimbo hilo. Narudia tena, cdm muwe makini sana
 
Mapigo mawili kwa Mwigulu Chemba aka CHEMBA LA MAJI TAKA wiki hii.
1. Kufutwa kwa shitaka la ugaidi dhidi ya kamanda Lwakatare.
2. Kukimbiwa na msaidizi wake na wanachama wake wengi.
 
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu

Kiongozi uliiona hii kitu kuna mtu aliiweka humu jana sa sijui kama umeikanusha tayari??

WASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua.
8 Kashfa aliyoitoa kwa mbunge Lema kuhusu kubaka huko London,kwa taarifa za uhakika yule dada ni muathirika wa VVU na alikuwa ni mpenzi wake LUKOSI kwa muda.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua naomba kutoa hoja
 
Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
Yule mwigulu anaogopwa kwa kung'oa watu kucha na meno bila ganzi.
 
Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
Acha ujinga we lifisadi kwani mfanyakazi wa ndani si
o mtu? Mbona mnadharau kias hicho? Au kwasababu nyie mnazichota tu!
 
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu

Mweleze shosti wako Mwigulu atafute jimbo la kugombea... bora akagombee Arusha kwa machuga ananafasi kubwa yakupita kuliko jimboni kwake... tumeharibuje...
 
Usishangae mwaka 2015 anakuwa mgombe ubunge wa Chadema kisa alikuwa mkanda chapati wa Mwigulu.


hahaha Ritz upo huwa mnapenda kuwatumia sana wapiga Kiwi?? kama uliyewekeza kwake zile hotel Dom zinaitwaje? Pero nini??? mwambie mkewe aboreshe shule yake asituletee product mbovu... shule ni fani sio biashara ....
 
Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
Mkuu jamaa wakisikia jina Mwigulu wanachanganyikiwa kama vile ndege wakimuona paka
 
Kiongozi uliiona hii kitu kuna mtu aliiweka humu jana sa sijui kama umeikanusha tayari??

WASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua.
8 Kashfa aliyoitoa kwa mbunge Lema kuhusu kubaka huko London,kwa taarifa za uhakika yule dada ni muathirika wa VVU na alikuwa ni mpenzi wake LUKOSI kwa muda.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua naomba kutoa hoja

Kwa hiyo wewe kama unaoga halafu chizi akachukua nguo zako utamfukuza?
Na kumwitende itakuwaje? kwa sababu huwezi kukimbia huku mikono imeficha kumwitende
 
Back
Top Bottom