Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
Mkuu Ritz
Timu ya Chadema JF imekuwa ni kiwanda cha uzushi na udaku; habari hii tumeletewa na mlinzi wa junior?
Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Pro-Chadema wanamuogopa Mwingulu Nchemba mpaka wafanyakazi wake wa ndani wakijiunga Chadema inakuwa habari muhimu makao makuu ya Chadema.
Viongozi wa CHADEMA wanahonga hata wafanyakazi wa mwigulu ili wawafurahishe wafuasi wao kwa propaganda mufilisi, na kwa kufanya hivyo, huyu jamaa alikodishiwa hotel na chakula na Kitila Mkumbo, halafu akasafiriswa mpaka mtaa wa Ufipa, Kinondoni kwenda kukabidhiwa Kadi na Dr. Slaa wakati hata kadi ile ya zamani ya Chadema alikuwa bado anayo. kwa sasa ana kadi mbili za CDM. Hili sakata linaonyesha ni jinsi gani wanamuogopa Mwigulu Nchemba.

Mwigulu Nchemba ni kiboko ya CHADEMA.
 
Last edited by a moderator:
chadema wawe makini na hao watu maana hila sasa hivi ni kubwa mno. Kama yule aliyedai aliandamwa na Mwigulu hadi akaamua kurudi ccm alikuwa mpinzani kweli, huyu Mwigulu atamwacha? Cdm muwe makini sana na huyo. Ni maandalizi ya kuvuruga mipango ya Dk Kitila Mkumbo kugombea jimbo hilo. Narudia tena, cdm muwe makini sana

Ninakubaliana mno na hoja zako! Huyo Nchemba (sijui Chemba) ni mtu wa kushitukia kila kitu! Inawezekana hili ni pandikizi linatumwa Chadema, linaweza lianzishe vurugu au hata kuua ili ionekana CHADEMA ndio wamefanya hivyo. Chemba ni wa kuchunga, sio wa kuaminiwa hata kidogo
 
Viongozi wa CHADEMA wanahonga hata wafanyakazi wa mwigulu ili wawafurahishe wafuasi wao kwa propaganda mufilisi, na kwa kufanya hivyo, huyu jamaa alikodishiwa hotel na chakula na Kitila Mkumbo, halafu akasafiriswa mpaka mtaa wa Ufipa, Kinondoni kwenda kukabidhiwa Kadi na Dr. Slaa wakati hata kadi ile ya zamani ya Chadema alikuwa bado anayo. kwa sasa ana kadi mbili za CDM. Hili sakata linaonyesha ni jinsi gani wanamuogopa Mwigulu Nchemba.

Mwigulu Nchemba ni kiboko ya CHADEMA.

Mkuu hawa jamaa ni vichekesho kwa jamii.

Hebu waulize Mimi ambaye nilikuwa mwenyekiti wao kadi yangu ya chadema ni namba ngapi? nilichukua lini? na nani alinipa?

Usishangae hata Dr Slaa mwenyewe akawa hana kadi ya Chadema ila anayo ya CCM
 
Viongozi wa CHADEMA wanahonga hata wafanyakazi wa mwigulu ili wawafurahishe wafuasi wao kwa propaganda mufilisi, na kwa kufanya hivyo, huyu jamaa alikodishiwa hotel na chakula na Kitila Mkumbo, halafu akasafiriswa mpaka mtaa wa Ufipa, Kinondoni kwenda kukabidhiwa Kadi na Dr. Slaa wakati hata kadi ile ya zamani ya Chadema alikuwa bado anayo. kwa sasa ana kadi mbili za CDM. Hili sakata linaonyesha ni jinsi gani wanamuogopa Mwigulu Nchemba.

Mwigulu Nchemba ni kiboko ya CHADEMA.

Uhuuu, we koma!! Kwa kuwa nyie mnanunua watu mnafikiri kila mtu anafanya hivyo. Hatuna huo muda wala hatuna hela za kuchezea kama nyie. Huyo dhamira imemshtaki na kumsuta na kuamua kuomba msamaha. Tumemkaribisha kama mwanachama kwa sababu alipoondoka hatukumdharau wala kumtusi na kumtisha kama nyie mfanyavyo. Leo hii aliyekuwa anashikilia ofisi ya mbunge na kumtembeza mbunge kila kijiji mnamuona hana maana. Huyu ndiye aliyekuwa anamfundisha Mwigulu aseme nini kuhusu CHADEMA mnamuona leo hana maana. Huyu mliyempa cheo cha Uenyekiti wa Jimbo kisichokuwepo hata kwenye Katiba yenu ili kumbembeleza amegeuka mpiga kiwi. Ama kweli shetani hana adabu!!
 
Uhuuu, we koma!! Kwa kuwa nyie mnanunua watu mnafikiri kila mtu anafanya hivyo. Hatuna huo muda wala hatuna hela za kuchezea kama nyie. Huyo dhamira imemshtaki na kumsuta na kuamua kuomba msamaha. Tumemkaribisha kama mwanachama kwa sababu alipoondoka hatukumdharau wala kumtusi na kumtisha kama nyie mfanyavyo. Leo hii aliyekuwa anashikilia ofisi ya mbunge na kumtembeza mbunge kila kijiji mnamuona hana maana. Huyu ndiye aliyekuwa anamfundisha Mwigulu aseme nini kuhusu CHADEMA mnamuona leo hana maana. Huyu mliyempa cheo cha Uenyekiti wa Jimbo kisichokuwepo hata kwenye Katiba yenu ili kumbembeleza amegeuka mpiga kiwi. Ama kweli shetani hana adabu!!

Siasa ni mchezo mchafu, hadi wewe pia umo kwenye kundi hili la siasa za kijinga?
 
Mwigulu kila anachopanga kinabumburuka ya lwakatare ndio hivyo tena na ndio ulikuwa mtaji wake mkubwa kwa ccm.
 
Only variety can destroy the variety.
CDM need be extra careful with that move.
The simplest way is to subject the imigrant under a skilful monitoring system not to encroach decision making chambers.
 
Kiongozi uliiona hii kitu kuna mtu aliiweka humu jana sa sijui kama umeikanusha tayari??

WASIFU WA LUKOSI
1.Huyu jamaa alikuwa polisi akafukuzwa sababu ya ajali katika msafara wa pm wakati ule John Malecela na kukimbilia Botwana kwa dada yake ambaye ni Nurse.2
2.Lukosi alifuatana na dadake nchini uk baada ya kupata kazi uk nayeye alipata nafasi ya kuambatana naye uk.
3.Lukosi alipata nafasi ya kujifanya mkimbizi na kuukana utanzania pamoja na porojo zake yeye uk anafahamika kama mkimbizi wa kisiasa na njaa.
4. Lukosi alipata kazi ya kuwa traffic warden kwa bahati mbaya alipata ajali ambayo ilimfanya adhurike kichwani alilazwa kwa muda mrefu na aliathirika na ajali ile kichwani.Kampuni aliyokuwa akiifanyia kazi ilimlipa malipo kutokana na ajali hiyo,na baada ya muda aliacha kazi na kuanza biashara.
5 Lukosi alianza biashara za kupeleka magari mabovu Tanzania na baiskeri za wizi kutokea maeneo ya barking&dagenham na baada ya muda alianza biashara nyingine ambazo wengi wanazijua.
6 Lukosi alijaribu kujiingiza kwenye siasa baada ya kukutana na mbunge Lema jijini London,na nia kubwa akifikiri atapata tender za kusafirisha mizigo na magari ya chadema.Alipewa nafasi kukaa hotelini kwa mzee ndesambulo jijini Dar kwa week moja free of charge.
7 Baada ya kukosa tender hiyo Lukosi alirudi ccm ambapo hajawahi kuwa mwanachama uk,na alianza kashfa nyingi kuhusu chadema na hii ni kutokana na waajiri wake wa biashara (sizisemi) kutoka Tanzania ambao ni wafadhiliwa na ccm kutokana biashara hizo.Ametumia muda mwingi mtandaoni ili wamkubali kuwa katoka chadema na anaichafua.
8 Kashfa aliyoitoa kwa mbunge Lema kuhusu kubaka huko London,kwa taarifa za uhakika yule dada ni muathirika wa VVU na alikuwa ni mpenzi wake LUKOSI kwa muda.
Tumdharau Lukosi kwa sababu ana ugonjwa wa pressure na inasemekana ni muathirika wa vvu si mwana siasa ila ni stress zinamsumbua naomba kutoa hoja
Yuko hapa ataleta majibu, tupe facts Mr Lukosi????
 
Uhuuu, we koma!! Kwa kuwa nyie mnanunua watu mnafikiri kila mtu anafanya hivyo. Hatuna huo muda wala hatuna hela za kuchezea kama nyie. Huyo dhamira imemshtaki na kumsuta na kuamua kuomba msamaha. Tumemkaribisha kama mwanachama kwa sababu alipoondoka hatukumdharau wala kumtusi na kumtisha kama nyie mfanyavyo. Leo hii aliyekuwa anashikilia ofisi ya mbunge na kumtembeza mbunge kila kijiji mnamuona hana maana. Huyu ndiye aliyekuwa anamfundisha Mwigulu aseme nini kuhusu CHADEMA mnamuona leo hana maana. Huyu mliyempa cheo cha Uenyekiti wa Jimbo kisichokuwepo hata kwenye Katiba yenu ili kumbembeleza amegeuka mpiga kiwi. Ama kweli shetani hana adabu!!
Mkuu una uhakika na unayosema kaka?
 
Tunavyojuwa ni kuwa Chadema walimtimuwa Mwenyekiti wake Kule UK pamoja na kadi Yake ya Chadema
 
Back
Top Bottom