Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

mkuu chama,
sie tuliyopo iramba tunajua kinachoendelea na hali ya siasa ya huku yaani waallah cdm hawawezi kumtoa mwigulu hata wakilala uchi mwaka mzima. Na kwa taarifa yao cdm hawana uongozi huku mwenyekiti hawana, katibu ni mzee mmoja very weak anaitwa salai na huyu ni wetu kabisa. Nyumbani kwa mkumbo panaitwa mgela na hapo yeye hana nguvu kabisa. Kitu kimojabtu alichotufanyia dr mkumbo ni kutugawia calender na zilikuwa 300 na mwenezi wao anaitwa malume akampatia rafiki yangu mmoja pale old kiomboi calender 200 tukazigawa kwa mama ntilie wakawafungia wanafunzi wa kntc maandazi basi ukawa mwisho wake. Mkumbo hamuwezi mwigulu asilani. Tena wakuu chama,bungeni, ritz,kingukitano,m23,chriss nk iamba hawawezi hawa macdm sijuwi kura zikipigwa humu jf lakini kwa wananchi hawana chao.

naona unaweweseka sana umesahau kuwa kura ndio zinazoongea na sio data zako nyuma ya pc,tambua kuwa ccm imechokwa ukijua ilo litakusaidia sana
 
CDM bana mkiambiwa ukweli ati wee Mwigulu mi sie Mwigulu......basi wee Babu a.k.a mzee wa kubilisi ndoa za watu.
 
Mkuu Ritz
Jambaa pimbi wa kiana fulani yaani alirudi CCM ili ajiegemeze kwa Mwigulu Nchemba ili atafute udaku wa kupeleka kwa mabwana zake; kagonga ukuta anajidai eti anarudi Chadema ana mapenzi makubwa hii danganya toto watafute pa kupeleka JF imechuja
Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,

Kumbuka unakipiga Chamanzi.
 
Last edited by a moderator:
CDM bana mkiambiwa ukweli ati wee Mwigulu mi sie Mwigulu......basi wee Babu a.k.a mzee wa kubilisi ndoa za watu.

matamshi yako yanaonesha hufai kuwa ata monitor wa drs la 1,sijui tanzania tunaelekea wapi,ivi hujawah kukaa na kufikiri how to write?how to talk as a leader? Kubishana kwa matusi kama unavofanya bungeni inakushusha hadhi na kuonekana hufai,mbona ilboru ulikua kijana mzur tu ni nani alokuharibu ndugu yangu na kukuacha ivo amekupa kilema cha maisha.
 
Ha ha ha! eti chama makini, au maskini wa sera?!
[Makini sana hata ukatae ukweli utabaki kuwa ukweli.
kasema hivi, "CDM hakitapokea makapi toka ccm kwa maana ya wale watakaochujwa na ccm wakati wa mchakato ndani ya vyama" alishasema baada ya Milya kuhamia CDM, "hatutaacha kuwapokea wanachama kwani kuongezeka kwa wanachama ni moja ya kukua kwa chama pia ila tutakua makini" uwe mwelewa jamaa angu.
Tutajitoa kwenye mchakato wa katiba. " kwani wewe hujaona baada ya hiyo kauli tayari serikali imesema italeta mswada bungeni wa kurekebisha sheria ya mchakato wa katiba mpya? SASA KWA WATU MAKINI SI WANGETOA MUDA ILI KUONA HIYO KAULI IKIFANYIWA KAZI? uwe mkweli na mwelewa jamaa yangu]
 
Back
Top Bottom