Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

Msaidizi wa Mwigulu atimkia CHADEMA

matasha

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
378
Reaction score
400
Msaidizi wa Mwigulu Nchemba bwana Edgar Ntunda amehamia CHADEMA pamoja na wananchi wengine wengi wa jimbo la Nchemba.

Akizungumza kwa niaba ya wenzake Bwana Ntunda amesema amechoshwa na matusi yanayoporomoshwa kila kukicha na hila za kisiasa dhidi ya Chadema zinazofanywa na Bwana Nchemba hivyo ameenda CHADEMA kufuata sera zitakazoikomboa Tanzania na kuyakimbia matusi na hila za CCM.

Pia alisema Bwana Nchemba ameshindwa kutekeleza ahadi zake hivyo kulikuwa hakuna njia nyingine bali kuhama na aliahidi atamuunga mkono Dr Mkumbo kumwondoa Nchemba 2015.

Kadi hizo zilikabidhiwa na Dr Slaa makao Makuu jana. Picha angalia Mwananchi uk 2.
 
Anajuta kama Nakaaya? Asubiri hadi 014 mwishoni ndo apime upepo huyo naye ni m**¤ya wa kisiasa senz sana
 
Ni kweli mkuu nimemwona akikabidhiwa kadi na Dr. katika gazeti la mwananchi kazi ndio imeanza.
 
CDM haitapokea wanachama kutoka CCM - Mbowe
CDM itajitoa mchakato wa katiba ikifika April 30 kama madai yetu hayatatekelezwa - Mbowe

Chama Makini
 
Eti msaidizi wa Mwigulu kwani amekuwa Babu kizee mpaka awe na msaadizi.Mnamfurahisha Babu ili apunguze Stress za ugonjwa
 
Karibu sana kwenye chama makini na uanze mara moja kujumuika na sisi ndugu zako katika kuokoa umma wa Tanzania na katika jimbo la Mwigulu ili wapate kukaa mbali sana na Mafisadi wale wa EPA kule Benki kuu.
 
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa
 
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu

Hiyo ndio shida yenu CCM.Leo umeamua kumwita mpiga kiwi,hayo but punguzeni majibu mepesi katika maswala mazito kama hay.Swala la chama kupoteza mwananchama sio suala dogo katika tasnia ya siasa.
 
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu
Kila post ihusuyo CHADEMA mwenzetu ni lazima uandike kitu, kulikoni? sometimes unajifanya unatoa ushauri kwa CHADEMA, mbona hujitolei kuwashauri CCM? hakuna matatizo huko? wewe ni mnafiki sana. lazima kuna kitu nyuma ya haya yote.
 
Last edited by a moderator:
CDM haitapokea wanachama kutoka CCM - Mbowe
CDM itajitoa mchakato wa katiba ikifika April 30 kama madai yetu hayatatekelezwa - Mbowe

Chama Makini

Ha ha ha! eti chama makini, au maskini wa sera?!
 
Back
Top Bottom