Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu
Peleka ushahidi wa ugaidi kesi ya Lwakatare, wewe siulisema unao tusubiri? Au imekuaje?
Kama namna gani na wewe unajuta unakaribishwa cdm.
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa
Huyo atakuwa mpiga kiwi wa mwigulu
Pole NMsaidizi wa Mwigulu Nchemba bwana Edgar Ntunda amehamia CHADEMA pamoja na wananchi wengine wengi wa jimbo la Nchemba.
Akizungumza kwa niaba ya wenzake Bwana Ntunda amesema amechoshwa na matusi yanayoporomoshwa kila kukicha na hila za kisiasa dhidi ya Chadema zinazofanywa na Bwana Nchemba hivyo ameenda CHADEMA kufuata sera zitakazoikomboa Tanzania na kuyakimbia matusi na hila za CCM.
Pia alisema Bwana Nchemba ameshindwa kutekeleza ahadi zake hivyo kulikuwa hakuna njia nyingine bali kuhama na aliahidi atamuunga mkono Dr Mkumbo kumwondoa Nchemba 2015.
Kadi hizo zilikabidhiwa na Dr Slaa makao Makuu jana. Picha angalia Mwananchi uk 2.
hukumuelewa. Tunawapokea lakini hatutawapa nafasi za uongozi.
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa
unaongopa pole wamekukamata vitu katikati ya mapaja yako umesahau ulivyomtoa na kumtangaza kila kata Iramba sema umeumia sana na siri zako za kupanga kuuwa watu zipo peupe pe lundo la washirika wako wamekukimbia, sasa hivibungeni umepoa kama maji MACCM yanakugeuka filamu yako ya ugaidi imebamizwa chini the end of MMwigulu era duhAlikuwa anapeleka unga MAKUNDA nyumbani kwa baba yake Mwigulu...na kutumwa ntulu kwa ajili ya baba yk. Hana impact yeyote kwa afya ya siasa ya Kiomboi hususan kwa Mwigulu. Mwigulu ni kipenzi cha wote chukizo lawajinga.
Acha kuongea usichokijua ww! asitoke kafanya nn cha maana zaidi ya kuwanunulia vijana miwa na viroba? Wana Iramba ndo tuna maamuz abak au asibak.
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa
Mkaanga vitumbua Ulaya........hujambo?
Yani katibu mkuu wa chama anapokea dagaa khaa hiki ni chama AMA Gari la mkaa
Na wewe kwa akili yako unazania ilikuwaje?
Huyu lazima ndiye mhusika ChembaAlikuwa anapeleka unga MAKUNDA nyumbani kwa baba yake Mwigulu...na kutumwa ntulu kwa ajili ya baba yk. Hana impact yeyote kwa afya ya siasa ya Kiomboi hususan kwa Mwigulu. Mwigulu ni kipenzi cha wote chukizo lawajinga.
Mimi ninauheshimu sana mchango wako katika medani ya elimu nchini lakini ninapatwa na wasiwasi na namba ya gia ya kisiasa unayotaka kuingia nayo Iramba Magharibi. Ninapatwa na wasiwasi kama utaweza kuogelea kwenye mawimbi mazito ya siasa za majitaka na propaganda kama ulivyoanza.
Kitila Mkumbo kumnunua mtu siyo lazima umpatie pesa mkononi. Hotel bure, chakula bure, usafiri bure, magwanda ya chadema bure na hata kadi nyingine ya uanachama nayo ni bure. Hivi vitu vyote vimemtongoza kisiasa na sasa yuko Dar anajirusha kwenye viwanja ambavyo hakutegemea kufika. Huku si ndiyo kumnunua kisiasa.
Ninakutakia safari njema ya kisiasa katika jimbo la Iramba Magharibi lakini kumbuka unaenda kupambana na gwiji la siasa za Tanzania ambaye jina lake ukilitaja ndani ya ofisi za CHADEMA, mtaa wa Ufipa, kuna viongozi ndani ya ofisi huwa wanapata kiwewe.