Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

Alipatikana mmoja amepigwa pini, wananchi wenyewe ndio wanatakiwa waonyeshe msimamo
Wananchi hufanya kazi nzuri kuwapigia kura wapinzani lakini Tume ya uchaguzi huiba kura zao na kuwanyima uhuru wa kuchagua
 
Aibu sana !! Kutwa kuandika nyuzi za kuwachulia watu, kwani huna kazi ya kufanya.

Hata wewe ni CHAWA wa Tundu, kwani shida iko wapi. Manyumbu mmekamatika lwenye korodani mwaka huu
View attachment 3452195
Manyumbu ni ccm kwa moja ya unyumbu ni kukosa ujasiri kutojiamini kufanya siasa safi, mmekalia kuwaonea kuwanyanyasa kuwatesa kuwafanyia kila baya chadema kama ccm mnadai mna watu wengi kwa nini mnakalia kuwatesa chadema? Mmekuwa watu wa kesi kesi kutumia vyombo vya Dola kutawala kimabavu kama enzi za makaburu wa Africa kusini
 
Damu za akina Ali Kibao, Mdude, Soka na wenzake ndiyo zinamtesa kila akifumba macho anawaona miili yao ikiwa imetapakaa damu ndiyo maana anapiga sana ulabu .
Wanamtokea usoni kila akisinzia tu
 
Misa ya jana St Peter, mwisho WA Misa ya kuombea Aman na Haki, ilipigwa wimbo WA taifa, nyuso za waumini zilibeba ujumbe mzito sana
 
Kwa mtazamo wako sawa ila kwa mana halisi ya uchaguzi ni kuwa hakuna uchaguzi kinachokwenda kufanyika October ni kiini macho kwani hadi sasa matokeo tayari yako kwenye servers za INEC wanasubiri kuyatangaza tu.

hata 2020 ilikua ni hivohivo
 
Waliomuona jana kwenye kongamano wanasema kachoka na uso hauna nuru! Sura imesawajika na anaonekana dhaifu na dhoofu! Haya si maneno yangu bali ya waliomuona

Kwenye Biblia takatifu kitabu cha Mithali kuna mstari unasema .. HERI MEKO KAVU PAMOJA NA UTULIVU....!
Hakuna kitu kinamaliza watu kama midomo ya wengine! Macho ya wengine! Vidole vya wengine...!
Wakinyanyua vinywa hata kama hawakusemi wewe tayari kuna matamshi yanajiumba na kudhani yamekulenga wewe. Unajikuta unakosa raha!

Macho! Hakuna taa ina mwanga mkali kuzidi macho! Yakikuangalia utadhani yanakuona mpaka rohoni... Utadhani yana x-ray.. Halafu yanasengenya vibaya Sana!
Yanakusema
Yanakuonya
Yanakuhukumu
Yanakukebehi
Yanakufanyia kila aina ya michezo hasa ukiwa mbele ya kadamnasi..

Vidole: havina midomo wale macho lakini vina ishara! Mdomo ukisema, macho yakikuangalia unapata hisia na vidole vinakunyooshea
Unajikuta unakosa amani, unakosa furaha unakosa confidence.. Kwakuwa unadhani kuna walio nyuma yako wanakunyooshea vidole!

Hapa tulipofika! Haina comeback! Maana
Midomo inayocheza cheza inazidi kuongezeka kila uchao.
Macho yanazidi kupata nuru
Vidole vinazidi kuwa virefu

Ni tafrani kila kona! Huna muda wa kuchill tena wala kutabasamu.. Si mitandaoni si vijiweni si mafichoni.. Hata kama huwasikii na kuwaona lakini kina hisia zinakuambia kwamba wanakusema
Msaidieni apumzike kwa amani.. Ameshatukanwa mpaka matusi ambayo haya andikiki.. Ameshapewa kejeli za kila aina! Dhihaka na hata tuhuma zenye ithibati
Kama binadamu mwenye hisia
Kama binadamu mwenye familia
Kama binadamu mwenye ndugu jamaa na marafiki haya mambo yanaumiza Sana

Msaidieni apumzike.. Apumzishe hisia
Naye anahitaji faraja
Naye anahitaji heshima
Naye anahitaji kutambuliwa utu wake
Lakini je naye kayafanya haya kwa wengine!? Kwakuwa ukitenda wema utalipwa na ukitenda ubaya utalipwa ubaya!
Karma is bitch! Huwezi Ku panda ukwaju ukategemea kuvuna bangiView attachment 3452164
Anacho kiburi chake mwenyewe akidhani kuwa Bora kuliko wanawake wote,wamemtisha kiasi kwamba sasa anaendeshwa kama Mkokoteni na hawampi nafasi ya kutafakari ndiyo maana unaona shughuli baada ya nyingine.Atakuwa anaishi saloon, dressing table na kwenye podiums.
She was been captured long time ago,The State is also captured and capsulated as well.That's why we're Insisting on Reforms before going into any Elections.It's logical,i hope.
 
Waliomuona jana kwenye kongamano wanasema kachoka na uso hauna nuru! Sura imesawajika na anaonekana dhaifu na dhoofu! Haya si maneno yangu bali ya waliomuona

Kwenye Biblia takatifu kitabu cha Mithali kuna mstari unasema .. HERI MEKO KAVU PAMOJA NA UTULIVU....!
Hakuna kitu kinamaliza watu kama midomo ya wengine! Macho ya wengine! Vidole vya wengine...!
Wakinyanyua vinywa hata kama hawakusemi wewe tayari kuna matamshi yanajiumba na kudhani yamekulenga wewe. Unajikuta unakosa raha!

Macho! Hakuna taa ina mwanga mkali kuzidi macho! Yakikuangalia utadhani yanakuona mpaka rohoni... Utadhani yana x-ray.. Halafu yanasengenya vibaya Sana!
Yanakusema
Yanakuonya
Yanakuhukumu
Yanakukebehi
Yanakufanyia kila aina ya michezo hasa ukiwa mbele ya kadamnasi..

Vidole: havina midomo wale macho lakini vina ishara! Mdomo ukisema, macho yakikuangalia unapata hisia na vidole vinakunyooshea
Unajikuta unakosa amani, unakosa furaha unakosa confidence.. Kwakuwa unadhani kuna walio nyuma yako wanakunyooshea vidole!

Hapa tulipofika! Haina comeback! Maana
Midomo inayocheza cheza inazidi kuongezeka kila uchao.
Macho yanazidi kupata nuru
Vidole vinazidi kuwa virefu

Ni tafrani kila kona! Huna muda wa kuchill tena wala kutabasamu.. Si mitandaoni si vijiweni si mafichoni.. Hata kama huwasikii na kuwaona lakini kina hisia zinakuambia kwamba wanakusema
Msaidieni apumzike kwa amani.. Ameshatukanwa mpaka matusi ambayo haya andikiki.. Ameshapewa kejeli za kila aina! Dhihaka na hata tuhuma zenye ithibati
Kama binadamu mwenye hisia
Kama binadamu mwenye familia
Kama binadamu mwenye ndugu jamaa na marafiki haya mambo yanaumiza Sana

Msaidieni apumzike.. Apumzishe hisia
Naye anahitaji faraja
Naye anahitaji heshima
Naye anahitaji kutambuliwa utu wake
Lakini je naye kayafanya haya kwa wengine!? Kwakuwa ukitenda wema utalipwa na ukitenda ubaya utalipwa ubaya!
Karma is bitch! Huwezi Ku panda ukwaju ukategemea kuvuna bangiView attachment 3452164
Hivi anapataga utulivu hata wa kumpa yule mzee haki yake?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom