Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

Msaidieni apumzike. Yanayoendelea hayana comeback

Waliomuona jana kwenye kongamano wanasema kachoka na uso hauna nuru! Sura imesawajika na anaonekana dhaifu na dhoofu! Haya si maneno yangu bali ya waliomuona

Kwenye Biblia takatifu kitabu cha Mithali kuna mstari unasema .. HERI MEKO KAVU PAMOJA NA UTULIVU....!
Hakuna kitu kinamaliza watu kama midomo ya wengine! Macho ya wengine! Vidole vya wengine...!
Wakinyanyua vinywa hata kama hawakusemi wewe tayari kuna matamshi yanajiumba na kudhani yamekulenga wewe. Unajikuta unakosa raha!

Macho! Hakuna taa ina mwanga mkali kuzidi macho! Yakikuangalia utadhani yanakuona mpaka rohoni... Utadhani yana x-ray.. Halafu yanasengenya vibaya Sana!
Yanakusema
Yanakuonya
Yanakuhukumu
Yanakukebehi
Yanakufanyia kila aina ya michezo hasa ukiwa mbele ya kadamnasi..

Vidole: havina midomo wale macho lakini vina ishara! Mdomo ukisema, macho yakikuangalia unapata hisia na vidole vinakunyooshea
Unajikuta unakosa amani, unakosa furaha unakosa confidence.. Kwakuwa unadhani kuna walio nyuma yako wanakunyooshea vidole!

Hapa tulipofika! Haina comeback! Maana
Midomo inayocheza cheza inazidi kuongezeka kila uchao.
Macho yanazidi kupata nuru
Vidole vinazidi kuwa virefu

Ni tafrani kila kona! Huna muda wa kuchill tena wala kutabasamu.. Si mitandaoni si vijiweni si mafichoni.. Hata kama huwasikii na kuwaona lakini kina hisia zinakuambia kwamba wanakusema
Msaidieni apumzike kwa amani.. Ameshatukanwa mpaka matusi ambayo haya andikiki.. Ameshapewa kejeli za kila aina! Dhihaka na hata tuhuma zenye ithibati
Kama binadamu mwenye hisia
Kama binadamu mwenye familia
Kama binadamu mwenye ndugu jamaa na marafiki haya mambo yanaumiza Sana

Msaidieni apumzike.. Apumzishe hisia
Naye anahitaji faraja
Naye anahitaji heshima
Naye anahitaji kutambuliwa utu wake
Lakini je naye kayafanya haya kwa wengine!? Kwakuwa ukitenda wema utalipwa na ukitenda ubaya utalipwa ubaya!
Karma is bitch! Huwezi Ku panda ukwaju ukategemea kuvuna bangiView attachment 3452164
We bwege uso wa mamako una nuru? Apumzike ili aingie mamako? Acha siasa za kishamba, madaraka huletewi nyumbani unayatafuta. Hv mbwa km ww unahangaika na mkuu wa nchi unajitambua kweli we bwege?
 
hivi vijana wa chadema munahisi Tatizo la hii nchi ni Samia ama? kwamba akiondoka yeye hali itabadilika? Munajidanganya sana
 
Waliomuona jana kwenye kongamano wanasema kachoka na uso hauna nuru! Sura imesawajika na anaonekana dhaifu na dhoofu! Haya si maneno yangu bali ya waliomuona

Kwenye Biblia takatifu kitabu cha Mithali kuna mstari unasema .. HERI MEKO KAVU PAMOJA NA UTULIVU....!
Hakuna kitu kinamaliza watu kama midomo ya wengine! Macho ya wengine! Vidole vya wengine...!
Wakinyanyua vinywa hata kama hawakusemi wewe tayari kuna matamshi yanajiumba na kudhani yamekulenga wewe. Unajikuta unakosa raha!

Macho! Hakuna taa ina mwanga mkali kuzidi macho! Yakikuangalia utadhani yanakuona mpaka rohoni... Utadhani yana x-ray.. Halafu yanasengenya vibaya Sana!
Yanakusema
Yanakuonya
Yanakuhukumu
Yanakukebehi
Yanakufanyia kila aina ya michezo hasa ukiwa mbele ya kadamnasi..

Vidole: havina midomo wale macho lakini vina ishara! Mdomo ukisema, macho yakikuangalia unapata hisia na vidole vinakunyooshea
Unajikuta unakosa amani, unakosa furaha unakosa confidence.. Kwakuwa unadhani kuna walio nyuma yako wanakunyooshea vidole!

Hapa tulipofika! Haina comeback! Maana
Midomo inayocheza cheza inazidi kuongezeka kila uchao.
Macho yanazidi kupata nuru
Vidole vinazidi kuwa virefu

Ni tafrani kila kona! Huna muda wa kuchill tena wala kutabasamu.. Si mitandaoni si vijiweni si mafichoni.. Hata kama huwasikii na kuwaona lakini kina hisia zinakuambia kwamba wanakusema
Msaidieni apumzike kwa amani.. Ameshatukanwa mpaka matusi ambayo haya andikiki.. Ameshapewa kejeli za kila aina! Dhihaka na hata tuhuma zenye ithibati
Kama binadamu mwenye hisia
Kama binadamu mwenye familia
Kama binadamu mwenye ndugu jamaa na marafiki haya mambo yanaumiza Sana

Msaidieni apumzike.. Apumzishe hisia
Naye anahitaji faraja
Naye anahitaji heshima
Naye anahitaji kutambuliwa utu wake
Lakini je naye kayafanya haya kwa wengine!? Kwakuwa ukitenda wema utalipwa na ukitenda ubaya utalipwa ubaya!
Karma is bitch! Huwezi Ku panda ukwaju ukategemea kuvuna bangiView attachment 3452164
Wahuni bado wanamhitaji sana ili wafanikishe uhuni wao
 
wao ndio wanaongozaa kulialia aachie aachie, maana yake nini?
Umeelewa vibaya, vijana wa Chadema na wapenda nchi wanataka mabadiliko ya kimfumo ndiyo maana wanalilia Katiba mpya, kumtaja Samia ni kwa vile ndiye Rais na mwenyekiti wa CCM Chama kinachounda Serikali.
 
Umeelewa vibaya, vijana wa Chadema na wapenda nchi wanataka mabadiliko ya kimfumo ndiyo maana wanalilia Katiba mpya, kumtaja Samia ni kwa vile ndiye Rais na mwenyekiti wa CCM Chama kinachounda Serikali.

na mada ya mleta mada ina lenga nini?

Na tunatakiwa tuelewe, CCM hawawezi kuleta mabadiliko ya kimfumo kwa huruma kama chadema wanavyofanya sasa hivi. CCM sio viumbe wepewepesi ni mashetani hasa.
 
na mada ya mleta mada ina lenga nini?

Na tunatakiwa tuelewe, CCM hawawezi kuleta mabadiliko ya kimfumo kwa huruma kama chadema wanavyofanya sasa hivi. CCM sio viumbe wepewepesi ni mashetani hasa.
Mleta mada hajajitambulisha kama ni kijana wa Chadema. Chadema wanaelewa kuwa CCM hawawezi kuleta mabadiliko bila kuwekewa shinikizo ndiyo maana wamekuja na NRNE ambayo imepokelewa vema na wananchi hadi CCM ikaamua kutumia mabavu ya vyombo vya dola kuizuia Chadema isifanye kabisa shughuli za kisiasa nchini, huu mpambano bado unaendelea na hautaisha hadi uishe.
 
Mleta mada hajajitambulisha kama ni kijana wa Chadema. Chadema wanaelewa kuwa CCM hawawezi kuleta mabadiliko bila kuwekewa shinikizo ndiyo maana wamekuja na NRNE ambayo imepokelewa vema na wananchi hadi CCM ikaamua kutumia mabavu ya vyombo vya dola kuizuia Chadema isifanye kabisa shughuli za kisiasa nchini, huu mpambano bado unaendelea na hautaisha hadi uishe.

NRNE imeshafail mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom