Na Mungu hadhihakiwi......Si kila alitajae jina na bwana ataingia peponi wengine ni wauaji wakuu na wanyang'anyi wa haki ya kuishi ya watu wengineHii imevuka mpaka. Chuki iko kwenye mioyo na roho za watu. Hata wakiombewa vipi, hawabadiliki. Cha shetani ni cha shetani...
Huo sio msiba wa taifa ni wa ccm.......sisi wenye taifa ambao ni malofa haituhusuSasa wataendaje msibani huku wanashangilia vidole juu km waimba taarabu?
Hyo si kebehi kwa msiba wa Taifa.
Viongozi wakuu wa Chadema wamefika uwanja wa Uhuru leo saa moja asubuhi ndipo wakazuiwa kuingia wakiambiwa wasubiri kwanza utaratibu.
Ilipofika saa tatu asubuhi viongozi kadhaa walianza kumiminika na kuruhusiwa kuingia uwanjani huku viongozi wa Chadema wakiwa bado getini.
Rais alipofika akaingia ndipo viongozi wa Chadema wakaambiwa hakuna tena kuingia uwanjani.
Ndipo nasema sasa kila mtu afanye shughuli yake ili mradi hatutavunja katiba.
Nyinyi mbona mlishajigawa tayari.Kwa Mara ya kwanza katika historia ya Tanzania utawala wa magufuli umekuwa wa kwanza kutugawa watanzania kwenye misiba Yani wametoa ujumbe tusizikane asanteni CCM.
sasa ndio nini hii!? yaani mtu mzima huwezi hata kutofautisha shughuli za kuaga mwili na shughuli ya mazishi!? nikwambie tu mazishi ni kesho kijijini kwao lupaso sijui, hii ya bongo ilikua ni kuaga!shughulia ya mazishi ya kitaifa.
Mawazo yako tu ni ya kilofa.Huo sio msiba wa taifa ni wa ccm.......sisi wenye taifa ambao ni malofa haituhusu
Na wewe na wenzako mtofatishe msiba na mapokezi.. sio kila sehemu maandamano na kiki.Inabid ujifunze tofauti ya jana na leo.
Shazi ni la jana kwenye mapokezi.
We ng'ombe kwako kifo cha mkapa ndio jambo complex....... kuwaelezea watz ulipo uchumi wa kati ndio swala complex....Tangazo la jana hawakulisikia? Msemaji wa Serikali Dr. Hassan Abas aliweka wazinutaratibu wa uingiaji uwanjani leo.
TAFAKURI
Kama maelezo mafupi Kama yale yanashindwa kutafsiriwa na watu wanaotaka kuchukua dola, hivi Mambo complex ya kuendesha nchi watawezana nayo kweli?
Ng'ombe kabisa haya maccmNgoja nisubiri kwenye kampeini kama kuna mtu ataingia uwanjani au sehemu yoyote wakati Rais atakua tayari yupo anaomba kura
Sherehe ni ya watz wote msiba ni wa ccmwaendelee na sherehe, watuache na msiba wetu.
statement ipi mkuu?Ile statement ya Pm jana iliashiria hilo jambo. Of which is very bad kubaguana hata kwenye msiba. Hii ni aibu na fedheha kwa Taifa.
INAMUHIMU GANI HIYO TAKA?Lissu ni mtu muhimu sn kuliko huyo rais wako.
Jamani mbona Maalim Seif yupo tena kakaa nyuma ya akina Magu?Msafara wa Viongozi Wakuu wa CHADEMA, wakiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Freeman Mbowe, wamezuiliwa kuingia Uwanja wa Uhuru walikokuwa wameenda kuhudhuria shughuli ya kutoa heshima za mwisho na kumuaga Rais Mstaafu wa Awamu Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa.
Mwenyekiti wa Chama Taifa, Mhe. Mbowe aliongozana na Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara), Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu wa CHADEMA, Mhe. John Mnyika, Mwenyekiti wa Baraza la Wazee, Mhe. Hashim Juma Issa, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama, Mhe. Suzan Kiwanga na viongozi wengine waandamizi kutoka Makao Makuu ya CHADEMA, Viongozi wa Kanda 10 za chama, Viongozi CHADEMAwa Mikoa, Wilaya na Majimbo mbalimbali nchi nzima.
Kutoka Uwanja wa Uhuru hapa, Dar es Salaam.
Kwani walienda saa ngapi
Kila kitu mnawaza siasa tu, ndio maana we are one of the poorest countries in the world, now upgraded to lower middle income, with squatters all over the place.Kwa jinsi walivyojikusanya na kwenda Uwanja wa Taifa, ni wazi kabisa walitaka kick ya kisiasa, sasa hao walikuwa hawana nia ya kuhani msiba bali kujitangaza kisiasa na wangevuruga sana..
Msiba mkubwa wa Taifa na Kimataifa kama huu wa Mh. Mkapa, alafu unakuja na sura au mlengo wa kisiasa ili ujipatie kick au publicity ni mbaya sana, watu wako katika majonzi ww uje na magwanda yako ya CDM unatafuta nn?Alafu wanakuja Mh. Rais tayari yuko ndani ya Uwanja wa Taifa, hata hawajui itifaki, hii ni kosa.
Viongozi wa CHADEMA mjitahidi sana kuwahi kweye matukio kama haya, mnapofika uwanjani mkuu wa nchi kashaingia tayari, mnakuwa mnawapa nafasi wapinzani wenu kujenga hoja.
Na inawezekena hawakukubali mualiko na waandaaji hawakujua kuwa wataenda. Mbona Maalim kapokelewa vizuri, na kakaa nyuma tu ya Magu, tena Hussein Mwinyi yuko nyuma ya Maalim.Mwanahabari Huru,
Nafikiri kwenye hili tuache ushabiki Viongozi wa Chadema wamechelewa kufika uwanjani na walipaswa kukaa presidential Area wangekaaje na je uwanjani wangeingia vp wakati Rais kaishaingia?
Wakubwa sehemu yeyote ambayo kama kuna event mtu wa mwisho kuingia ni Rais ukichelewa kaa mbali tu!