Atropine
JF-Expert Member
- Oct 15, 2017
- 758
- 1,716
Hili ni jibu tosha kwako. There's no need to expend energy.Waingie wakafanye nini? Kwani msiba una wahusu? msiba ni wakwetu sisi wana ccm
Hili ni jibu tosha kwako. There's no need to expend energy.Waingie wakafanye nini? Kwani msiba una wahusu? msiba ni wakwetu sisi wana ccm
Yaan wageni mashuhuri ni kutoka burundi na comoro kweli?
Yaani bora watumikia masaburi kuliko kuwa nyumbuUjinga mtupu, kwaiyo saizi mimi nikitaka kuja hapo, siruhusiwi?
Ivi mnafikiriaga kwa makalio nyie mburura wa CCM?
Hapo ndio utaona utofauti wa wanasiasa kama kina Seif na wanaharakati kina LisuHawakujua siku ya leo ilikuwa ni shughulia ya mazishi ya kitaifa. Shughuli ya kitaifa ina protokali maalumu ya kuingia uwanjani . Walitakiwa kuingia wakati wa zamu za viongozi wa kisiasa kama walivyofanya wenzao. Au wawahi saa kumi na mbili waingie kama wananchi wa kawaida. Prorokali ya leo kiongozi wa mwisho kuingia alikuwa Rais na ratiba kuanza si vinginevyo.
Chadema ndio wapuuzi na wamekosa heshima, wenyewe kila tukio ni siasa tu.Duh, CCM waoga kweli. Wameogopa TL angeingia pale uwanja wote ungesisimka!
Kwanini imekua hivyo hawakutoa mwaliko au wako lockdown?Comoro si mgeni bali balozi mkazi.
Mgeni ni Burundi tu mkuu.
ingukuwa wewe ungefanya kimyakimya?Easy mkuu. Kama sio sympathy kwanini haikuacha TL arudi bila kupigia kelele jamii kwamba ndio anarudi. kwanza suala la kubaki hai au kufa ni la kwake na mungu...kwanini msingefanya kimyakimya suala la kubaki na uhai wake
Chadema ni chama cha walafi na hata hivyo kishajifia.Cjui km unaelewa maana ya neno "sympathy" kenge ww.........
CHADEMA ni chama Cha watz....sio chama cha walafi km ccm
Kwanini imekua hivyo hawakutoa mwaliko au wako lockdown?
Utakufa wewe kabla CHADEMA haijafaChadema ni chama cha walafi na hata hivyo kishajifia.
Chadema wameitaka serikali itoe Maelezo kwanini viongozi wakuu wa chama hicho walizuiwa kuingia uwanja wa Uhuru kumuaga hayati Mkapa.
Barua iliyosainiwa na mkuu wa mawasiliano wa Chadema mh Makene imedai viongozi wengine wakiwemo wa dini waliruhusiwa kuingia lakini wao waliambiwa wakapange foleni kitu ambacho ni kinyume cha sheria.
Barua hiyo inadai Maelezo kamilifu toka serikalini.
Maendeleo hayana vyama!
Chadema hawakuwa na nia ya kwenda kuaga walienda kwenye show off na kutafuta sympathy kwamba huyu ndio TL amerudi sasa just for political gains
Sasa mbona umependa alichosema na wakati wewe ulitakiwa ufahamu msimamo wangu? Sikukupa like yangu kwenye statement yako kama yake kasoro maeneno ya kwenye kanga?Duh!
Nimekuwa kiazi mkuu? Any way shukran
Siyo kweli labda msiye mtaka kaja tena kwenye msiba je kwenye kampeni? semeni mnaogopa watu wangeli sema Rais, Rais,Rais'time has already told' muda umeshaongeaChadema hawakuwa na nia ya kwenda kuaga walienda kwenye show off na kutafuta sympathy kwamba huyu ndio TL amerudi sasa just for political gains