Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Wadau nimeshitushwa na utitiri wa magari kwenye msafara wa rais (umenipita mitaa ya Kibamba) bila shaka unaelekea Msoga kwa mapumziko ya week end.
Hizi zote ni kodi za watanzania masikini zinazoteketezwa, na huyu ndiye rais anayetaka tumwamini kutuletea katiba itakayo kidhi matakwa ya taifa hili kwa miaka 50 ijayo!
Na ile ambulance ya Group 5 bado ipo, sijui serikali hawajui zinapouzwa ambulance? Au Mhimbili hakuna ambulance???
Hizi zote ni kodi za watanzania masikini zinazoteketezwa, na huyu ndiye rais anayetaka tumwamini kutuletea katiba itakayo kidhi matakwa ya taifa hili kwa miaka 50 ijayo!
Na ile ambulance ya Group 5 bado ipo, sijui serikali hawajui zinapouzwa ambulance? Au Mhimbili hakuna ambulance???