Msafara wa rais magari 23 pikipiki 2 je hii ni sawa?

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Wadau nimeshitushwa na utitiri wa magari kwenye msafara wa rais (umenipita mitaa ya Kibamba) bila shaka unaelekea Msoga kwa mapumziko ya week end.

Hizi zote ni kodi za watanzania masikini zinazoteketezwa, na huyu ndiye rais anayetaka tumwamini kutuletea katiba itakayo kidhi matakwa ya taifa hili kwa miaka 50 ijayo!

Na ile ambulance ya Group 5 bado ipo, sijui serikali hawajui zinapouzwa ambulance? Au Mhimbili hakuna ambulance???
 
Hakuna cha ajabu hapo. Huyo ni Rais wa Nchi kumbuka si mwenyekiti wa kijiji. Tembea uone mbona huyu ana nafuu. Je hukuona gari zimefungwa MG juu na askari wamevalia kivita wakisafisha njia ya mkuu wa nchi? Je hukuona Helkopta zikipishana angani kuongoza msafara?

Mbona ubadhirifu ni mwingi tu nchi hii? hata hao tunaosema ndio wapinga ufusadi mbona misafara yao ni mikubwa tu?

Kweli kunya anye kuku!!

Itifaki ikizingatiwa msafara huo ni mdogo kwa mkuu wa nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hakuna cha ajabu hapo. Huyo ni Rais wa Nchi kumbuka si mwenyekiti wa kijiji. Tembea uone mbona huyu ana nafuu. Je hukuona gari zimefungwa MG juu na askari wamevalia kivita wakisafisha njia ya mkuu wa nchi? Je hukuona Helkopta zikipishana angani kuongoza msafara?

Mbona ubadhirifu ni mwingi tu nchi hii? hata hao tunaosema ndio wapinga ufusadi mbona misafara yao ni mikubwa tu?

Kweli kunya anye kuku!!

Itifaki ikizingatiwa msafara huo ni mdogo kwa mkuu wa nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Sikubaliani na wewe, Yes Marais wa Marekani wana misafara mikubwa na sophiscated zaidi lakini uchumi wa Marekani ni mara milioni ya uchumi wetu ukitaka kujilinganisha na Wamarekani umekwisha! Hizi Vougue na VX zote za nini????
 
Msafara wenye magari mengi zaidi kwa africa ni wa kiongozi wa libya. Msafara unaokwenda kasi zaidi kwa africa ni wa rais wa kenya. Ulinzi (magari mengi) pia una determine jinsi rais asivyopendwa (ana maadui wengi)
 
Guys, has any of u seen convoy ya UK prime minister? Piki piki 2, land rover freelander, Rover ya primemister, freelander na mwisho piki piki 2. Now hii ni nchi inayofadhili maskin Njaa Kaya na nchi yake.
 
NIMEKUTANA NA HUO MSAFARA WA MALANDCRUISER NA MAAMBULANCE NA MAPIKIPIKI ,NIMEKUTANA NAO JANGWANI MIDA YA SAA TATU NA NUSU HIVI KWELI JK NI FISADI

KILICHONISHANGAZA MIMI NI KUWA KUNA MAGARI KAMA MANNE LANDCRUISER NYEUSI KUBWA GX V8 HAZINA WATU YUKO DEREVA PEKE YAKE,HII INA MAANA MSAFARA WA JK UNA MAGARI MENGI KULIKO WATU MMH'''

nchi yetu uchumi wao
 
Sikubaliani na wewe, Yes Marais wa Marekani wana misafara mikubwa na sophiscated zaidi lakini uchumi wa Marekani ni mara milioni ya uchumi wetu ukitaka kujilinganisha na Wamarekani umekwisha! Hizi Vougue na VX zote za nini????

Huu hapa wa Marekani...magari kumi tu

images
 
Hakuna cha ajabu hapo. Huyo ni Rais wa Nchi kumbuka si mwenyekiti wa kijiji. Tembea uone mbona huyu ana nafuu. Je hukuona gari zimefungwa MG juu na askari wamevalia kivita wakisafisha njia ya mkuu wa nchi? Je hukuona Helkopta zikipishana angani kuongoza msafara?

Mbona ubadhirifu ni mwingi tu nchi hii? hata hao tunaosema ndio wapinga ufusadi mbona misafara yao ni mikubwa tu?

Kweli kunya anye kuku!!

Itifaki ikizingatiwa msafara huo ni mdogo kwa mkuu wa nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!
wapi hao? na huwa na msafara wa magari mangapi na kwenye shughuli ipi?...
ni ajabu kweli mtu kama wewe kutetea rais kuwa na msafara wa magari zadi ya 20...wakati angeweza kutumia magari yasiyo zidi 5...
inaoneka wewe huwa unatembea sana..lakini naomba nikuulize msafara wa raiswa kenya huwa magari magapi? maana baadhi ya mawaziri walishawahi kuja na coaster hapa Arusha...
 
Kwenye suala la usalama wa Rais tusiquestion wala kutaka structure yake!
Wingi wa magari katika msafara ndio unaoleta usalama? Ni dhahiri kuwa kama kukitokea jambo fulani, wingi huo wa magari ndio utakuwa chanzo cha kupunguza usalama. Na hizi barabara zetu zilivyo, itakuwa ni kasheshe!
 
Sikubaliani na wewe, Yes Marais wa Marekani wana misafara mikubwa na sophiscated zaidi lakini uchumi wa Marekani ni mara milioni ya uchumi wetu ukitaka kujilinganisha na Wamarekani umekwisha! Hizi Vougue na VX zote za nini????

Huu hapa wa Malkia...magari sita tu

106767230_c08801d206.jpg
 
Sikubaliani na wewe, Yes Marais wa Marekani wana misafara mikubwa na sophiscated zaidi lakini uchumi wa Marekani ni mara milioni ya uchumi wetu ukitaka kujilinganisha na Wamarekani umekwisha! Hizi Vougue na VX zote za nini????

Sijaona alipofananisha na Merekani, naona wewe ndio unafananisha na Merekani na kumtia maneno yako kinywani mwake. Wacha kuchakachuwa.
 
ambulensi ni muhimu kwani kunakajamaa huwa kana kaugonjwa kale ka kuanguka anguka. na leo si unajua UDASA wanakongamano? hivyo kakisikia hoja zinavyojengeka hapa na kuwasilishwa haka kajamaa ni lazima kiamguke. sema sikuhizi inakuwa siri wanaficha kakianguka tu, kanaingizwa ndani ya ambulance.
 
Hakuna cha ajabu hapo. Huyo ni Rais wa Nchi kumbuka si mwenyekiti wa kijiji. Tembea uone mbona huyu ana nafuu. Je hukuona gari zimefungwa MG juu na askari wamevalia kivita wakisafisha njia ya mkuu wa nchi? Je hukuona Helkopta zikipishana angani kuongoza msafara?

Mbona ubadhirifu ni mwingi tu nchi hii? hata hao tunaosema ndio wapinga ufusadi mbona misafara yao ni mikubwa tu?

Kweli kunya anye kuku!!

Itifaki ikizingatiwa msafara huo ni mdogo kwa mkuu wa nchi!!!!!!!!!!!!!!!!!!

kweli bwanamageuko umeöngea na una akili,msafara wa gari 23 kwani una tatizo gani,apo pia protoko aijafuatwa kikamilifu zinatakiwa ziwe gari si chini ya 25
 
jamani Mhe Rais si kaama mwenyekiti wa TLP ama NCCR ambao hawahitaji escort. Rais wa nchi hawezi kukaa kwenye magari yote. Ila ana wasaidizi wake na vyombo vya ulinzi na usalama. Inaonekana wewe hujaona msafara wa obama na marais wengine
 
Ndo maana wengine hawaelewi kwanini tz ni nchi maskini. Wingi wa VX V8 barabarani ili hali yule askari aliyeshikilia bunduki kwenye msafari mawazo kibao - mtoto wake kafaulu kwenda st Kayumba na walimu hakuna, mke wake mja mzito yupo mwananyamala na dk amegoma kumfanyia operation kisa hakuna umeme au glovs hakuna; na yeye mwenyewe solidier mshiko wake hajalipwa sababu sei-kali haina fezwa; mnyororo ni mrefu.
Je hapo pana usalama ama mfano wa usalama.
Tafakari
 
Back
Top Bottom