MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,400
- 1,706
Hivi hawa polisi wanajitambua kweli!!?? hivi mamazao na shangazi zao wana hawajaumizwa na huu utawala!! niliwahi sikia kuwa! ukifeli kidato cha nne, basi nenda polisi watakuchukua!!Nimeona video ya mgombea mwenza wa CHADEMA akipigwa mabomu kisa kusimama na kuwasalimia wananchi. Roho imeniuma sana.
Nilikuwa nikiona watu wanajivisha mabomu na kwenda kulipua sehemu nilikuwa nashindwa kuelewa kwa nini mtu anafikia hatua hiyo, ila sasa nimeelewa kwa nini watu hujitoa muhanga.
Rais Magufuli anapita kila sehemu na kusalimia watu lakini hakuna wa kumgusa. Polisi mnahatarisha amani ya nchi.
View attachment 1585538