boyson onlye
JF-Expert Member
- Sep 13, 2015
- 1,105
- 1,386
Nimesoma tread yako na comment zako, nimegundua umepoteza tumaini, sijui wewe ni una amini nini na dini gani?Nina umri wa miaka 24
Kwetu mm ni mtoto wa kwanza ambae nategemewa na ndugu zangu wakiwemo wadogo zangu na mama yangu mzazi.
Nina fani ya ujenzi na tour guide by professional ila KILA NINAPOTAFUTA KAZI NAKOSA KISA NINA UMRI MDOGO.
PIA SINA REFER
Istoshe wadogo zangu wanarudi shule mwakani na mm ndio wakuwatafutia ADA.
NAUZA PIA FIGO PAMOJA NA INI.
naombeni msaada wenu.
Pesa za masharti nahitaji
Ndugu njia unazozifikilia kuwa ni msaada kwako ni njia za kukosa matumaini kabisa, naomba utambue kila kitu kinachotokea kwa mwanadamu kina kusudi na siku zote Mingi anatuwazia mema,
Kwanza badili mawazo yako na kufikili freemason ni msaada wako au kuuza figo or ini, rudisha imani yako kwa Mungu amini kuwa Yeye pekee ndio msaada wako, pia tambua hakuna mtu ambaye hajapitia maisha magumu, Jipe moyo utashinda kama yana mwanzo basi mwisho wake utafika tu, ukiitaji mtu wa kukupa mawazo naomba uni pm, Mimi niko Dar nitakuja kuongea na wewe