kikoozi
JF-Expert Member
- Jun 24, 2015
- 2,030
- 2,930
Mimi ni kijana nimemaliza chuo kikuu miaka kadhaa imepita sasa, Umri wangu ni miaka 31 (sina mke wala mtoto), baada ya kuangaika sana kutafuta ajira mpaka kufikia kukata tamaa atimaye Mungu wa mbinguni, muumba mbingu na nchi akaniona na kunipatia kisehemu kidogo cha kujishikiza (project flani hivi),
Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.
Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.
Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.
Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,
Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,
Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),
Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.
Kuna muda nawaza nitafute chuo nje ya nchi (nchi za ulaya tu mf, norway au ujerumani) course yeyote ya mwaka mmoja, mfano: postgraduate diploma nisome, ila hapa nia na madhumuni yangu makuu ni kutafuta ajira yeyote halali nje ya nchi ili niweze ku-save ela nyingi zaidi kwaajili ya kufanya maendelea yangu uku nyumbani tanzania.
Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum
Tangu nianze kufanya kazi nina miaka 3 sasa, na kila pesa niliokuwa napata nilikuwa najitahidi kadri ya uwezo wangu ku-save kadri niwezavyo maana nilikuwa nikifikilia kipindi sina ajira nimepitia kwenye moto mkali sana wa mawazo na kukosa pesa ata ya kupeleka CV sehemu.
Kwa sasa bado nipo kwenye ajira hii (project) na hii project inaelekea kuisha ndani ya miezi minne kutoka ivi sasa, na nimejaribu kutuma sana CV kuomba sehemu mbalimbali ila sijapata mrejesho wowote tangu mwaka jana, na kwenye hii project mpaka sasa nime-bahatika ku-save jumla ya kiasi cha shillingi milion 40.
Sijawahi kufanya biashara popote pale katika maisha yangu, na katika kazi zangu izi katika hii kampuni zinabana sana muda wangu kufanya kazi zingine binafsi.
Natamani sana nipate kazi sehemu nyingine baada ya hii kuisha, ila ndio ivyo nimejaribu sana kutuma CV mpaka sasa sijapata ata interview moja ya kuitwa,
Natamani pia labda ningeanzisha biashara ila sijawai kufanya biashara yoyote,
Kuna muda nawaza basi ngoja nitumie hii pesa kujenga tu nyumba maana sina nyumba, (ila kiwanja ninacho tayari),
Kuna muda nawaza sijui niitumie hii pesa kununua nyumba badala ya kujenga.
Kuna muda nawaza nitafute chuo nje ya nchi (nchi za ulaya tu mf, norway au ujerumani) course yeyote ya mwaka mmoja, mfano: postgraduate diploma nisome, ila hapa nia na madhumuni yangu makuu ni kutafuta ajira yeyote halali nje ya nchi ili niweze ku-save ela nyingi zaidi kwaajili ya kufanya maendelea yangu uku nyumbani tanzania.
Nipo kwenye msongo wa mawazo sana, msaada wenu wa ushauri ndugu zangu wana JmaiiForum