Mm imenichanganya kidogo, barabara inatajwa ya pugu mpaka bunju, maelezo yanayotolewa ni ya kigamboni. Kilomita zinabadilika ghafla. Yaani ufafanuzi haueleweki kabisa. Basi Tanroads wanisaidie make hizi ni barabara zaoKuelewa kilichoandikwa hapo, hadi uwe umewahi kutumia hizo bara bara.
Hiyo ni kama ring road (bara bara ya mzunguko). Inaanzia Kigamboni mpaka Kongowe. Kongowe mpaka Mbagala. Mbagala mpaka Chanika. Chanika kupitia Pugu na Kifuru mpaka Mbezi mwisho. Mbezi mpaka Mpigi majohe. Mpigi mpaka Bunju kupitia Mabwepande.Mm imenichanganya kidogo, barabara inatajwa ya pugu mpaka bunju, maelezo yanayotolewa ni ya kigamboni. Kilomita zinabadilika ghafla. Yaani ufafanuzi haueleweki kabisa. Basi Tanroads wanisaidie make hizi ni barabara zao
Naomba ufafanuzi, kwa mbezi mwisho inatokea sehemu gani na ikifika mbezi mwisho kuelekea bunju inapita wapi?Hiyo ni kama ring road (bara bara ya mzunguko). Inaanzia Kigamboni mpaka Kongowe. Kongowe mpaka Mbagala. Mbagala mpaka Chanika. Chanika kupitia Pugu na Kifuru mpaka Mbezi mwisho. Mbezi mpaka Mpigi majohe. Mpigi mpaka Bunju pale karibu na shule ya Baobab.
Inapita Mabwepande nadhani...Naomba ufafanuzi, kwa mbezi mwisho inatokea sehemu gani na ikifika mbezi mwisho kuelekea bunju inapita wapi?
Inapita Mabwepande nadhani...
Mabwepande - Goba- Mpiji Magohe... nadhani...Kutoka mbezi mwisho kwenda bunju kuna njia mbili. Kuna ya kupitia makabe na ile ya kupitia mbezi high school. Na zote zinakutana chama then inakuwa njia moja inayopita mabwepande kwenda bunju. Sasa hapa ni njia ipi?
Achaga ujinga basiii😁😁😄Huyu jamaa ni great thinker bhana, asipuuzwe