chakutu
Member
- Feb 23, 2018
- 58
- 34
Je kutenguliwa katika uteuzi wa Naibu Waziri Bw. Atupele F. Mwakibete na Katibu Mkuu Bwa. Migire wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi-Sekta ya uchukuzi kuna nini nyuma ya pazia ilhali Waziri Makame na Naibu Katibu Mkuu wake Dkt. Possi wakiwa bado kwenye nafasi zao katika Wizara mpya ya Uchukuzi?