Nini hasa kusudio la Rais Samia kutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi?

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,225
12,948
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
 
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Sisi watazamaji tu. Kuteua siyo kazi. . Kazi kuwasimamia hao mawaziri.
 
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Hii nchi ya kijani isha laaniwa huyo sson watu wana mchoka
 
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Amefanya vizuri ni Wizara kubwa sana,ni kama ilovyokuwaga Nishati na Madini.

Wizara zote mbili ni nyeti na Zina matilioni ya Shilingi Kwa hiyo kuiacha Kwa mtu mja sio sawa.
 
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Uchukuzi ba ujenzi vimekuwa sana kipindi hiki, lazima zitenganishwe kuwa na ufanisi.
 
Bado naendelea kutafakari nia na malengo mahususi yakutenganisha Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi!

Nafikiri ni ngumu sana kutenganisha hivi vitu viwili yaani Ujenzi pamoja na Uchukuzi! Sijui nini kinakusudiwa ijapokuwa naona bado Waziri ni yuleyule Makame Mbalawa na Katibu wake ni yuleyule Ally Possi kwaiyo wamehama na Bandari zao za kwenye IGA.
Ulaji, kuwapa watu ulaji,
 
Back
Top Bottom