Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega (Mb.), akiwasilisha Bungeni Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha kwa mwaka wa Fedha 2026/27 ya Wizara ya Ujenzi leo, tarehe 20 Mei 2026,
amesema kuwa jumla ya Tsh 2,564,441,414,000 zinahitajika ili kufanikisha utekelezaji wa majukumu ya wizara...